Mjue mwanamke

Ungeeleweka zaidi kama ungeweka jinsi wanavyopiga mizinga ya saloon na vocha
 
Ujinga mtupu! Acheni hoja zakitoto hapa JF. Lets be objective jamani, hizi hisia juu ya wanawake hazina tija. Ni hawahawa wanatoa mimba, wanatupa watoto chooni etc.
Kila kiumbe kina umuhimu wake jua hilo.

hizo mimba wananunua mlimani city??
 
Daaah hii thread imenikumbusha matendo mazuri ya mama yangu na mke wangu mtarajiwa, nawapenda sana hawa viumbe wawili.

Heshima kwa wanawake woote wema sio kwa magumegume
 
Basi vivulana visivyo na adabu vitabishaaaaa! Sijui wamelelewa na nani hivi vitoto km havikuzaliwa vile, ila vikikua vitakuwa na heshima kwa wanawake.
 
afu sumbai nini lakini unataka niuache mwaka vibaya kwa kuachika?acha kumrusha roho my kibo10..atanisusia kunipeleka holiday mwenzio

Ahaa haa mwambie apunguze wivu. Maana vzuri anakula na wenzake.

Nitakupeleka dubai
 
# MWANAMKE
● Anabadili Jina lake
● Anahama nyumbani kwao
● Anaacha familia yake
● Anaondoka na wewe
● Anajenga nyumba na wewe
● Anabeba ujauzito wako

● Ujauzito wako unabadili umbo lake
● Anakua mnene
● Anateseka chumba cha uzazi kwa maumivu makali kwa ajili ya mtoto wako.
● Na mtoto akizaliwa anasubiri umpe jina unalolipenda.

Mpaka kifo chake atakufanyia kila kitu, kukupikia, Kusafisha nyumba yako, Kuwatunza wazazi wako, Kulea watoto, Kubana matumizi, Kukushauri, Kuhakikisha unapumzika, Kujenga mahusiano mazuri ya familia na wakati mwingine kusakamwa sana na familia yako kwa mambo ambayo umetenda wewe, Wakati mwingine anaweza hatarisha afya yake, Uhai wake kwa ajili yako.

Anakufumania analia kisha anakusamehe.
Mwanaume Muheshimu Mwanamke Katika Maisha yako, Sababu kuwa Mwanamke si jambo rahisi.

Mfanye Mwanamke kuwa kiumbe mwenye furaha pindi unapokua nae maana Muda wa furaha kwake ni Mdogo sana.

Heshima kwa Wanawake wote Duniani.
.......
Nimeikopi mahali tu jamani!

Nimekuelewa sana ila bana huyo mwanamke unayemzungumzia awe mweupe basi ndio wanakua na promise za ukweli kwa hawa wa bongo na Africa kwa ujumla kisha wana maisha ya kimaigizo sana mapenzi yao ni filam ukimpenda sana anakupa limbwata ili uwe zoba mimi nimekwisha toka jamani
 
Vipi wale wachepukaji wawili ambao ni members wa jf walivyopigwa mimba na michepuko yao, au ni wanaume hao?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom