miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
amina Mokoyomuishi kwa amani wanawake
Last edited by a moderator:
amina Mokoyomuishi kwa amani wanawake
Ujinga mtupu! Acheni hoja zakitoto hapa JF. Lets be objective jamani, hizi hisia juu ya wanawake hazina tija. Ni hawahawa wanatoa mimba, wanatupa watoto chooni etc.
Kila kiumbe kina umuhimu wake jua hilo.
hizo mimba wananunua mlimani city??
afu sumbai nini lakini unataka niuache mwaka vibaya kwa kuachika?acha kumrusha roho my kibo10..atanisusia kunipeleka holiday mwenzio
# MWANAMKE
● Anabadili Jina lake
● Anahama nyumbani kwao
● Anaacha familia yake
● Anaondoka na wewe
● Anajenga nyumba na wewe
● Anabeba ujauzito wako
● Ujauzito wako unabadili umbo lake
● Anakua mnene
● Anateseka chumba cha uzazi kwa maumivu makali kwa ajili ya mtoto wako.
● Na mtoto akizaliwa anasubiri umpe jina unalolipenda.
Mpaka kifo chake atakufanyia kila kitu, kukupikia, Kusafisha nyumba yako, Kuwatunza wazazi wako, Kulea watoto, Kubana matumizi, Kukushauri, Kuhakikisha unapumzika, Kujenga mahusiano mazuri ya familia na wakati mwingine kusakamwa sana na familia yako kwa mambo ambayo umetenda wewe, Wakati mwingine anaweza hatarisha afya yake, Uhai wake kwa ajili yako.
Anakufumania analia kisha anakusamehe.
Mwanaume Muheshimu Mwanamke Katika Maisha yako, Sababu kuwa Mwanamke si jambo rahisi.
Mfanye Mwanamke kuwa kiumbe mwenye furaha pindi unapokua nae maana Muda wa furaha kwake ni Mdogo sana.
Heshima kwa Wanawake wote Duniani.
.......
Nimeikopi mahali tu jamani!
aaah! Baby nameless girl nmekumis sana, nakukubali sana ww ni bichwa
kizuri kula na mwenzako bibi wee unataka awewako peke yako umemuumba huyoo??
ahaa haa mwambie apunguze wivu. Maana vzuri anakula na wenzake.
Nitakupeleka dubai