kamtesh
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,395
- 514
Kwa kupost huu ujinga nawe ukajiona mjanja
Deal na facts sio hisia zako, sikushangai typical ya watu wasio critical thinkers. Dadavua mambo kabla huja comment plse
Kwa kupost huu ujinga nawe ukajiona mjanja
Umeolewa?, kama bado subiri uolewe kwanza
Ujinga mtupu! Acheni hoja zakitoto hapa JF. Lets be objective jamani, hizi hisia juu ya wanawake hazina tija. Ni hawahawa wanatoa mimba, wanatupa watoto chooni etc.
Kila kiumbe kina umuhimu wake jua hilo.
Deal na facts sio hisia zako, sikushangai typical ya watu wasio critical thinkers. Dadavua mambo kabla huja comment plse