JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 55,017
lole Gwagisa, Yericko Nyerere,
..napenda kujua Mkwawa alikuwa akipata wapi silaha za kivita?
..je, kuna ukweli wowote kuhusu tuhuma kwamba alikuwa akijihusisha na biashara wa WATUMWA??
..ugomvi wa Mkwawa na Wajerumani ulikuwa kuhusu nini haswa?
..napenda kujua Mkwawa alikuwa akipata wapi silaha za kivita?
..je, kuna ukweli wowote kuhusu tuhuma kwamba alikuwa akijihusisha na biashara wa WATUMWA??
..ugomvi wa Mkwawa na Wajerumani ulikuwa kuhusu nini haswa?
Last edited by a moderator: