Mjue Jelly Fish Samaki hatari baharini, ni haja wavuvi kuwa nae makini

Box Jelly fish (Sea wasp), ni samaki anaepatikana baharini,hasa katika bahari ya Pacific (Indo-Pacific) pia katika bahari ya Atlantic.Hupatikana kwa wingi katika nchi za Australia,New Zealand,Philippenes na mji wa Hawaii ulioko USA.

Samaki huyu hujulikana kama 'the most deadliest fish in the world', 'the world most venomous creature', na 'the most notoriously dangerous specie in the world' yaani kiumbe hatari kuliko vyote duniani,yote hii katika kumsifia kutokana na uwezo wake wa kuua kwa sumu kali na kwa haraka kuliko kiumbe chochote duniani.

MAISHA YAKE.
Box Jelly fish ukubwa wake unakuwa na urefu wa cm 20, na 'miguu' yake inakuwa na urefu wa kufikia mita 3, ana uzito wa kg 2.Ana jumla ya macho 24,ambayo huwa yamekaa yamekusanyika sita na yakiwa katika kona nne za mwili wake.Wanaishi muda wa mwaka mmoja tu toka wazaliwe.

MUONEKANO.
Ukimuangalia kwa umbo unaweza kusema ni kiumbe kidhaifu na hata cha kufuga ili uchezee,maana yupo kama maua.Kwa wale walioangalia movie ya Seven Pound ya Willy Smith watakuwa wamemuona pale mwishoni.


Kwa viumbe wa ardhini na majini tunaweza kupima ukali wake wa kuua kwa sumu kwa kuangalia vigezo viwili.

(a) Sumu yake anayotoa kwa kipimo cha ounce (ounce 1=28.3 grams),kina uwezo wa kuua watu wangapi?

(b) Hiyo sumu inaweza kuchukua muda gani kuua mtu?



Kwa kutumia vigezo hivyo hapo juu, utaona kuwa Box Jelly fish anawazidi kwa mbali viumbe vingine wote wa baharini na nchi kavu kwa kuwa na sumu kali yenye kuweza kuua watu wengi na kwa haraka.

SUMU YAKE.
Box Jelly fish anaweza kuua kwa kipimo cha ounce moja ya sumu yake inaweza kuua watu 60 kwa mpigo! Na hao watu kwa sumu hiyo lazima wafe chini ya dakika 3 tu! Hapa utaona hata yule nyoka tunayemuogopa zaidi duniani ambae ni Black Mamba au maarufu kwa jina la Koboko..Hafui dafu hata kidogo kwa samaki huyu.


View attachment 1885930

SUMU HUNASHAMBULIA NINI MWILINI MWA MTU.
Sumu yake akikupiga inaenda kwa haraka kushambulia moyo na kuua mifumo ya neva kwa haraka hivyo kukuua haraka.

KILICHO HATARI KWAKE
Samaki huyu hazungushi au hafurukuti kwa turtles (kasa), ambao sumu ya jelly fish huyu haimdhuru.

ANAULIWAJE
Mpaka sasa hakuna binadamu aliyefanikiwa kumuuwa samaki huyu kwa kila unapokata miguu yake huchipua ndio maana unashariwa kumuacha maana ni kiumbe kisichokufa kwa kuuliwa hasa na binadamu.

SOURCE:- IUCN Eastern Africa Programme.
Wavuvi wetu hawafiki huko Pacific kwenda kuvua
 
Mpaka sasa hakuna binadamu aliyefanikiwa kumuuwa samaki huyu kwa kila unapokata miguu yake huchipua ndio maana unashariwa kumuacha maana ni kiumbe kisichokufa kwa kuuliwa hasa na binadamu.
Hakuna specie hatari kupata kutokea ulimwenguni kama binadamu!!

Huyo Jellyfish ni kwavile tu hajaleta uhalifu mkubwa kwa mwanadamu... ngoja nae ajifanye corona wa kuua watu ovyo ovyo ndipo atajua kama watu watakosa mbinu za kumteketeza.

Huyo Mungu mwenyewe tu ndo hivyo tena kwavile kajificha!!
 
Hivi wanaposema mfano sumu ya nyoka kama black mamba inaweza kuua watu wazima 20 wanamaanisha akiuma hao watu 20 ndio sumu inaisha au inakuwaje? Au pengine uwezo wake wa kung'ata ndio unaisha anakuwa amechoka?

Maana yake ni kuwa ujazo wa ile sumu anayoitoa kwa mara moja, kama ukiweza kuiweka kwenye sindano basi inatosha kuwachoma watu 20 na kiwango hicho cha mils/oz kutosha kuwaua wote...
 
Box Jelly fish (Sea wasp), ni samaki anaepatikana baharini,hasa katika bahari ya Pacific (Indo-Pacific) pia katika bahari ya Atlantic.Hupatikana kwa wingi katika nchi za Australia,New Zealand,Philippenes na mji wa Hawaii ulioko USA.

Samaki huyu hujulikana kama 'the most deadliest fish in the world', 'the world most venomous creature', na 'the most notoriously dangerous specie in the world' yaani kiumbe hatari kuliko vyote duniani,yote hii katika kumsifia kutokana na uwezo wake wa kuua kwa sumu kali na kwa haraka kuliko kiumbe chochote duniani.

MAISHA YAKE.
Box Jelly fish ukubwa wake unakuwa na urefu wa cm 20, na 'miguu' yake inakuwa na urefu wa kufikia mita 3, ana uzito wa kg 2.Ana jumla ya macho 24,ambayo huwa yamekaa yamekusanyika sita na yakiwa katika kona nne za mwili wake.Wanaishi muda wa mwaka mmoja tu toka wazaliwe.

MUONEKANO.
Ukimuangalia kwa umbo unaweza kusema ni kiumbe kidhaifu na hata cha kufuga ili uchezee,maana yupo kama maua.Kwa wale walioangalia movie ya Seven Pound ya Willy Smith watakuwa wamemuona pale mwishoni.


Kwa viumbe wa ardhini na majini tunaweza kupima ukali wake wa kuua kwa sumu kwa kuangalia vigezo viwili.

(a) Sumu yake anayotoa kwa kipimo cha ounce (ounce 1=28.3 grams),kina uwezo wa kuua watu wangapi?

(b) Hiyo sumu inaweza kuchukua muda gani kuua mtu?



Kwa kutumia vigezo hivyo hapo juu, utaona kuwa Box Jelly fish anawazidi kwa mbali viumbe vingine wote wa baharini na nchi kavu kwa kuwa na sumu kali yenye kuweza kuua watu wengi na kwa haraka.

SUMU YAKE.
Box Jelly fish anaweza kuua kwa kipimo cha ounce moja ya sumu yake inaweza kuua watu 60 kwa mpigo! Na hao watu kwa sumu hiyo lazima wafe chini ya dakika 3 tu! Hapa utaona hata yule nyoka tunayemuogopa zaidi duniani ambae ni Black Mamba au maarufu kwa jina la Koboko..Hafui dafu hata kidogo kwa samaki huyu.


View attachment 1885930

SUMU HUNASHAMBULIA NINI MWILINI MWA MTU.
Sumu yake akikupiga inaenda kwa haraka kushambulia moyo na kuua mifumo ya neva kwa haraka hivyo kukuua haraka.

KILICHO HATARI KWAKE
Samaki huyu hazungushi au hafurukuti kwa turtles (kasa), ambao sumu ya jelly fish huyu haimdhuru.

ANAULIWAJE
Mpaka sasa hakuna binadamu aliyefanikiwa kumuuwa samaki huyu kwa kila unapokata miguu yake huchipua ndio maana unashariwa kumuacha maana ni kiumbe kisichokufa kwa kuuliwa hasa na binadamu.

SOURCE:- IUCN Eastern Africa Programme.
Usikute wachina wanamla huyu.
 
Umesahau hapa.

Anatumia hizo kamba(mikia yake)ya 3m kunasa mvamizi au prey anaowala.
Hiyo kamba moja hata kuiona kwenye maji ni mtihani,lakini ndio ikikugusa moja tu,balaa unalo.

Mungu fundi sana.
Dawa rahisi utomvu wa papai bichi
 
Hawa samaki wapo hapa hapa Tanzania,kwenye bahari ya hindi.Mtoa mada hujatoa credit kuhusu hilo.
 
Mara tunaambiwa samaki huyo huwa hazeeki wala hafi.Mbona sasa hizo siyo sifa za kiumbe hai kama Biology ya form 1 ilivyotuambia?

Halafu hayo maviumbe ya baharini mengi huwa ni majini yaliyovaa taswira ya vitu vingine ili tusiyashtukie.I suspect Jelly fishes are Jinnis.
 
Samaki huyu hujulikana kama 'the most deadliest fish in the world', 'the world most venomous creature', na 'the most notoriously dangerous specie in the world'
Mkuu samahani naomba kukusahihisha kidogo hapo kwenye bold, ni kweli jellyfish ni kiumbe mwenyewe sumu Kali sana lakini sio kuzidi viumbe wote duniani.
Huyu anaongoza kwa kuwa na sumu Kali zaidi kwa viumbe wa baharini (the most venomous marine creature) na huyo ni Australian box jellyfish.
Kiumbe anayeongoza kwa kuwa na sumu Kali zaidi duniani pote ni NYOKA ajulikanaye Kama "INLAND TAIPAN"
Anapatikana huko east Australia, sumu anayotoa kwa kung'ata Mara moja tu Inatosha kabisa kuua watu wazima Mia moja!
main-qimg-58b75531de29508e271220b978c566d0-lq.jpeg
images.jpeg
 
Hivi wanaposema mfano sumu ya nyoka kama black mamba inaweza kuua watu wazima 20 wanamaanisha akiuma hao watu 20 ndio sumu inaisha au inakuwaje? Au pengine uwezo wake wa kung'ata ndio unaisha anakuwa amechoka?
Hapana mkuu; Iko hv. Ule ujazo au wingi(volume) wa sumu iliyopo na anayoweza kuitoa, ikigawiwa kwa vipimo sawa (mls au cc) inatosha kuua watu wazima (kiafya) 20. Lakini kwa kawaida nyoka yoyote anapouma au kung'ata huwa hatoi sumu yake yote.
 
Back
Top Bottom