Tip Master
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 490
- 532
Nimekutana na mzee mmoja wa enzi hizo na kunijuza kuwa waziri wa mawasiliano wakati wa utawala wa Nyerere mh. AGUSTIN MWINGIRA aliwai kuliingizia hasara taifa letu kwa mara ya kwanza tangu lipate uhuru wake kwa kwenda kununua ndege mbili Lebanon.
Nasikia ndege hizo zilikuwa mikweche na tangu zilipotua DIA enzi hizo zikitokea Lebanon hazikuwai kuruka tena mpaka wa leo in short hazikufanya kazi kabisa.
Kama kuna mwenye habari yoyote kuhusiana na hilo naomba atujuze zaidi.
Nasikia ndege hizo zilikuwa mikweche na tangu zilipotua DIA enzi hizo zikitokea Lebanon hazikuwai kuruka tena mpaka wa leo in short hazikufanya kazi kabisa.
Kama kuna mwenye habari yoyote kuhusiana na hilo naomba atujuze zaidi.