Mjomba tutaua wangapi ndio turidhike?

Bonge leo anatangazwa rasmi kuwa ni mshindi ..kisha sasa .....

Mkuu ni mabadiliko tu content ni zile zile tuko pamoja
 
Wanajuana kwa vilemba
 

Swali kubwa, ni kwanini wanaogopa kurudi?. Kama wanataka kumpindua Kagame wake wampindue nani kawakataza?. Waje tu.
 
Bonge leo anatangazwa rasmi kuwa ni mshindi ..kisha sasa .....

Mkuu ni mabadiliko tu content ni zile zile tuko pamoja
Okay okay nimekupata mkuu.

Bonge aweke ulinzi imara naona hali ya sasa si shwari kabisa na leo ndio tutaona uhalisia wa wenye nia ovu wakoje japo hili haliwezi kuwa kwa leo pekee ila ujumbe utatumwa.
Kila la kheri mkuu tuko pamoja.
 
Swali kubwa, ni kwanini wanaogopa kurudi?. Kama wanataka kumpindua Kagame wake wampindue nani kawakataza?. Waje tu.
Nadhani wanajipanga kwa mikakati....
Iliwachukua miaka mingi kwa akina Fred kujipanga na kurudi Rwanda na RPF yao......!!!
Unadhani wanaogopa ...ila ni masuala ya timing.
Watarudi tu kupigana nao wachukue madaraka.....akili za wanyarwanda nazijua......mpaka leo wanaishi kwa visasi
 
Okay okay nimekupata mkuu.

Bonge aweke ulinzi imara naona hali ya sasa si shwari kabisa na leo ndio tutaona uhalisia wa wenye nia ovu wakoje japo hili haliwezi kuwa kwa leo pekee ila ujumbe utatumwa.
Kila la kheri mkuu tuko pamoja.
Ngoja atangazwe kisha tuone Bonge atakuja na plan gani lkn km atarudi kwenye drawing table ataona Mpango mkakati autumie huo huo
 
Kama kuna mtu ana amini kuwa wale watoto hawatorudi Rwanda huyo anajidanganya
 
Ndio hivyo hivyo. Pamoja na misukosuko ila wakafanikiwa kurudisha Rwanda kwa wanyarwanda. Leo Rwanda inaheshimika.
MKUU UNAONA AKILI ZA WAPWA ZANGU UKIWAMO WEWE. ....KWAMBA KIPINDI CHA ABBY RWANDA HAIKUA KWA WANYARWANDA...ILA KIPINDI CHA KAGAME NDIO RWANDA IMERUDI KWA WANYARWANDA.
NB: MINDEST ZA WATUSI NA RPF🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…