Ahahahahahaha Lini binadam alipenda Shida?CCm inaendelea kupendwa
Kweli ila na wale wale hv mtu mwenye akili timamu karne hii atatembea peku!CCm inaendelea kupendwa
Msanii katika tasnia ya kughani mwenye style ya kipekee duniani na anayependa kutembea peku ndugu Mrisho Mpoto alias Mjomba amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi na kupokelewa na Katibu mkuu wa CCM ndugu Bashiru Ally.
Mjomba alikuwa CCM siku nyingi katafuta kiki tu ya kujifanya kujiunga na ccm leoMsanii katika tasnia ya kughani mwenye style ya kipekee duniani na anayependa kutembea peku ndugu Mrisho Mpoto alias Mjomba amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi na kupokelewa na Katibu mkuu wa CCM ndugu Bashiru Ally.
Mjanja huyu anaenda kuganga njaaMsanii katika tasnia ya kughani mwenye style ya kipekee duniani na anayependa kutembea peku ndugu Mrisho Mpoto alias Mjomba amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi na kupokelewa na Katibu mkuu wa CCM ndugu Bashiru Ally.
CCm inaendelea kupendwa
Ulikuwa mkutano wa ndani. Kipi hujaelewa hapo?Hivi mikutano ya kisiasa si marufuku Tanzania leo pale uwanja wa uhuru CCM walikua wanafanya nini?..hii nchi kwakweli mnawezana wenyewe watanzania
Wakina mbowe na kina mdee wanaozungukwaga na maaskari tena wakiwa ndani ya ofisi zao za chama inakuaje hapo...Ulikuwa mkutano wa ndani. Kipi hujaelewa hapo?