okiwira
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,253
- 3,528
Amemaanisha nini mkuu.
Asante mkuu kwa tusi la kufungia mwezi...
Asante mkuu kwa tusi la kufungia mwezi...
Kamtukana Mange matusi ya jumla jumla. Hajitambui, ana kiburi, anatafuta umaarufu, hana aibu na mengine ya design hiyo.Amemaanisha nini mkuu.
Ndio mange huyu,mbona kama kakinyagoMwanzoni mwa wimbo wake msanii Roma Mkatoliki ameanza kwa kuwauliza:
"MBONA HAMKUMSAPOTI MANGE? NA NINYI MTAKUWA WANAFIKI!!"
Nilitegemea jamaa zangu mumjibu kaka yenu, mmeuchuna tu.
Au amesema ukweli nyie ni wanafiki??
Maana nawaona kila kitu mnapinga anachofanya Rais Magufuli. Mara ndege sio shida yenu (lakini mnapanda), Mara demokrasia inaminywa, Mara mpo tayari kuingia mitaani kuandamana.
ROMA KAWAULIZENI MBONA HAMKUMSAPOTI MANGE KIMAMBI??
AU NYIE NI WANAFIKI KWELI???
View attachment 1268394
nimjulie wapi ndugu?
Punguza hasira,mchezo huu hautaki hasiraWewe ndokilaza kweli.kwani akifanyia ughaibuni hausikii au akiwa bongo ndo utamwelewa ,dunia imeshakua kijiji ,wakiwambia nenden fb hamtaki