Nchi yetu ipo kama mji usio na baba vile,Inasikitisha sana kuona mji wa tanzania umekosa baba mwenye kujisimamia.Kila msaidizi wake anakuwa na ndimi zinazokinzana na mwingine,mara nyingi baba aonapo tatizo katika familia yake hupanga safari za ughaibuni kitu ambacho kiaigharimu familia. Nadhan sasa ufikie wakati asimame ili kutoa maamuzi kama baba mwenye mji. Saiv kuna sakata la Dk.Harrison mwakyembe kulishwa sumu na aliowapa jukumu la kufutilia tatzo hli wanatapatapa kwanin asilisimamie hl ili watu wajue ukwel ulipo?