Mji umepoa sana, sababu ni nini?

Mji umepoa sana, sababu ni nini?

Natamani sana iwe hivi ila nasita but ikitokea nadhan nitakua na furaha sanA
Itakuwa hivyo mkuu, kwani ulishawai fikiri nchi itakuja endeshwa kisela namna hii ? Watu wanatekwa hovyo hovyo mchana kweupeee, watu wanauliwa kiholela na ajabu ajabu ?
 
Itakuwa hivyo mkuu, kwani ulishawai fikiri nchi itakuja endeshwa kisela namna hii ? Watu wanatekwa hovyo hovyo mchana kweupeee, watu wanauliwa kiholela na ajabu ajabu ?
Kwakwel sikuwah hata kuwaza et Tanzania ingekuja fika ilipo leo. Never aisee. Ujue kama umegjndua hata hapa jukwaan zile mada za kumsema Kagame na Rwanda yake zimeisha kabisaaaa maana yale ya kule ndio yanafanyika hapa. Tena bora PK alikua ana deal na magwiji hapa bongo vyombo vina deal na sis poor citizens tusio hata na panga, maneno tu
 
Kwakwel sikuwah hata kuwaza et Tanzania ingekuja fika ilipo leo. Never aisee. Ujue kama umegjndua hata hapa jukwaan zile mada za kumsema Kagame na Rwanda yake zimeisha kabisaaaa maana yale ya kule ndio yanafanyika hapa. Tena bora PK alikua ana deal na magwiji hapa bongo vyombo vina deal na sis poor citizens tusio hata na panga, maneno tu
Basi hata yatayo tokea kuanzia tarehe 28 na kuendelea pia itakuwa suprise kwa wengi
 
Back
Top Bottom