LiFe 2-point-0
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 4,253
- 11,621
Wakuu na wanabodi habari zenu!. Za masiku mengi?
Ni muda mrefu sana toka nimeondoka rasmi jijini Dar es salam, na japo huwa nakuja kuja one time huwa inakua ni kwa specific task so naonana na specific people at specific one area.
Huwa sipati muda wa kuzunguka sana ,then naondoka.
But this time imekua tofauti. Shughuli zangu zimenielekeza sana kutembelea ofisi kadhaa za binafsi na serikali zilizopo mjini kati, posta.
Haya maeneo nayajua sana maana since 12 years ago nikiwa naingia mjini hapa kama mwanafunzi wa IFM haya ndio yalikua maeneo yetu ya kuzurura kwakua chuo kiko centre kabisa.
Mbali na chuo, kaz yangu ya kwanza na ya pili nimefanya hapa hapa posta na kuzungukia maeneo ya jiran kama kariakoo na other areas around.
Moja ya vitu nilishavikariri ni u busy wa haya maeneo. Watu wengi. Na kubwa zaidi kwa wamiliki wa vyombo vya moto hasa magari, haya maeneo huwa ni changamoto sana kwa habari ya parking hasa unapochelewa kuingia city centre.
Hali niliokuana nayo hizi siku nimekua around hapa ni experience ya tofauti sanaa.
Mji umepwayaa, watu si wengi kama nilivyokua na ile picha ya posta tokea naijua.
Nimeingia saa 3 asubuh lakin parking lots zipo za kutoshaa kama zoote, koote huku kuanzia samora street, billicanas ya zaman , maeneo ya rita yan parking zipo kama zoote.
Hiki kitu sikuzoea namna hii.
Ikabidi niongee na jamaa mmoja mahala nilipokua ofisin kwake ,nikauliza kuhusu hii hali, akanambia mambo yamekua machache sasa hiv posta. Hata biashara pia zimeshuka sana kwa wauzaji wa bidhaa mbali mbali labda vyakula. Maofisi pia mengi yamehama.
Hata wenye ofis zao mjini siku hiz wanachelewa kuingia maana bussiness ime drop mnoo.
Basi nikakubali kuwa hakika mambo yame change.
Anyways, ndio maisha. Acha nimalize ishu zangu nirudi mkoa.
Kila lakheri wakuu
Ni muda mrefu sana toka nimeondoka rasmi jijini Dar es salam, na japo huwa nakuja kuja one time huwa inakua ni kwa specific task so naonana na specific people at specific one area.
Huwa sipati muda wa kuzunguka sana ,then naondoka.
But this time imekua tofauti. Shughuli zangu zimenielekeza sana kutembelea ofisi kadhaa za binafsi na serikali zilizopo mjini kati, posta.
Haya maeneo nayajua sana maana since 12 years ago nikiwa naingia mjini hapa kama mwanafunzi wa IFM haya ndio yalikua maeneo yetu ya kuzurura kwakua chuo kiko centre kabisa.
Mbali na chuo, kaz yangu ya kwanza na ya pili nimefanya hapa hapa posta na kuzungukia maeneo ya jiran kama kariakoo na other areas around.
Moja ya vitu nilishavikariri ni u busy wa haya maeneo. Watu wengi. Na kubwa zaidi kwa wamiliki wa vyombo vya moto hasa magari, haya maeneo huwa ni changamoto sana kwa habari ya parking hasa unapochelewa kuingia city centre.
Hali niliokuana nayo hizi siku nimekua around hapa ni experience ya tofauti sanaa.
Mji umepwayaa, watu si wengi kama nilivyokua na ile picha ya posta tokea naijua.
Nimeingia saa 3 asubuh lakin parking lots zipo za kutoshaa kama zoote, koote huku kuanzia samora street, billicanas ya zaman , maeneo ya rita yan parking zipo kama zoote.
Hiki kitu sikuzoea namna hii.
Ikabidi niongee na jamaa mmoja mahala nilipokua ofisin kwake ,nikauliza kuhusu hii hali, akanambia mambo yamekua machache sasa hiv posta. Hata biashara pia zimeshuka sana kwa wauzaji wa bidhaa mbali mbali labda vyakula. Maofisi pia mengi yamehama.
Hata wenye ofis zao mjini siku hiz wanachelewa kuingia maana bussiness ime drop mnoo.
Basi nikakubali kuwa hakika mambo yame change.
Anyways, ndio maisha. Acha nimalize ishu zangu nirudi mkoa.
Kila lakheri wakuu