Kweli Fanya Kazi kama mtumwa uishi Kama mfalme, dah! The King Drogba ndiyo mchezaji pekee duniani mwenye Mjengo wenye thamani kubwa zaidi uliomgharimu paundi mil 14 point kadhaa. Maelezo zaidi.
tuache majungu watz, tumwache kwani hela ndo ilivyomruhusu, na wewe hela iliyokuruhusu ni kuendesha kibaby walker(vitz) na kupanga chumba na sebule Sinza