Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 875
Hongera sugu.
hueleweki!Hahaaaaaa teh teh teh Hahaaaaaa teh teh teh Hahaaaaaa teh teh teh Bongo bana mhhhhhh siasa ulaji tuuuuuu. mtaacha kutoana roho kwa mtaji huu. ile kubebwa juu juu bungeni unafikiri mchezo? kangekuwa kamshahara ka laki tatu usingeona yote hayo. wao wanalipwa over Tsh 15 mil kwa mwezi halafu wanakuambia kwenye mikutano yenu huko tunataka kima cha chini laki tatu na nusu,wapi kwa wapi Tz politic business ndio faida zake hizo. wewe ishia viroba na makofi pppppp ppppppp
View attachment 115445
big up kamanda
Nyumba ya kawaida sana
yako ikoje......weka picha hapa............
Hongera Sugu... jamani kujenga nyumba inayoeleweka kazi. Mtaishia hii ya kawaida, oo sijui nani ana hekalu, wakati huo upo kibanda cha uani w nyumba iliyojengwa mwaka 70. Ukitaka kujua ni heka heka anza kujenga...
Mbona ya kawaida compared to.......
dada hata kama yeye hana kwa kweli hii nyumba sio ya kuwekewa thread! !!!!!!!
Tena mjengo wa ajabu!!!!!!!
hueleweki!
aiseee babayangu nyumba ya kamanda wetu sugu ni yakawaida embu angalia yumba ya iddi azani pale fundikila ile ni ekalu kabisa
Hongera Sugu... jamani kujenga nyumba inayoeleweka kazi. Mtaishia hii ya kawaida, oo sijui nani ana hekalu, wakati huo upo kibanda cha uani w nyumba iliyojengwa mwaka 70. Ukitaka kujua ni heka heka anza kujenga...
Nyumba ya kawaida sana