mmmmmmmhhh
we acha tuu!!Mbona waguna? Kuna kaukweli nini
Ukijiona MJANJA kwa kuanza kupendwa jua kuna FALLA katendwa.....
Na ukiona unaanza kutendwa jua kuna MJANJA kapatikana.
which means wewe ni FALLA
Don't worry just a love cycle
so wote mkiwa wajanja mnacheat?na wote mkiwa mafala je?
wote mkiwa mafala mnakuwa mnalala na jeans kitandani