WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Wanawake wengi hata kama hawataki ..wanaujua ukweli kuwa ni nadra sana kwa mwanaume aliyefiwa na mke kubaki mjane
Wanawake wengi huwa hawapendi kuolewa tena na mifano imejaa tele hata mkijaribu kufikiria wanawake wajane walioolewa mtaona idadi ni ndogo sana.QUOTE]
Hiyo bold una full support from Chris. Jitahidi usife kabla ya mumeo, lazima atavuta chombo kipya ndani.
Hiyo red umechemka. Njoo mitaa ya kwetu nikuonyeshe wajane wawili watatu ufanye utafiti upya.
WAWILI WA TATU BADO INABAKIA NI IDADI NDOGO vinginevyo nionyeshe nimechemka kivipi.
Hiyo bold ndugu yangu hakuna kujitahidi..... ukiitwa unaitika tu hata kama hutaki.