HomeSweetHome
Member
- Dec 18, 2010
- 45
- 9
Vijana mbalimbali kutoka asasi za vijana, shule za sekondari, wajariamali, vyuo vya elimu ya juu na vijana wa makundi mbalimbali wapo katika Mjadala wa Vijana na Mchakato wa Katiba Mpya hapa katika ukumbi wa Halmashauri ya manispaa ya Kinondoni. Nikipata nakala ya mada iliyowasilishwa nitaituma hapa.Karibuni wadau