Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,886
- 1,036
mkuu kama chanzo kimojawapo ni matumizi ya dawa za uzazi wa mpango , ina maana hawezi kupata mimba?
ahsante sana mkuu
Mkuu mimba atapata ila itachukua mda kwa maana mrija wa uzazi unakuwa umepindapinda kwahiyo mbegu zako hazifiki kunakohitajika,wanafia njiani.kama uko serious ni pm mkuu.