Mjadala wa Umoja wa Upinzani StarTV Dec 5, 2010

Niseme machache tu,

Naona kuungana si sawa na haiwezekani, kila chama kina falsafa yake, na hiyo ndio nguzo ya chama chochote, mf CCM ni chama cha mapinduzi cha wakulima na wafanyakazi, sijui kama falsafa hii bado hai maana kwa sasa kuna wasio na kazi wengi sijui wataingia kundi gani, naona falsafa yao imepitwa na wakati ndio maana wanaanza kuweka na udini ktk malengo yao,anyway ni falsafa iliyokufa, CHADEMA wana falsafa ya nguvu ya umma, hii ni falsafa hai maana kila muda review za malengo yake lazima ilenge kufaidisha umma kama mwajiri wake, ndio maana hata waiponde vipi chadema itaendelea kufanya ve,a na wasiokubali falsafa hii wataondoka na kuiacha hai. CUF yenyewe inatetea haki sawa kwa wote, sijui kama kweli hilo wanalifanya maana sihaona wakitetea wachimbaji wadogo waliofukiwa na wanaotaabika machimboni, huo mfano mmoja tu. UDP upendo daima kama TYCS vile safi lakini hoja mtawezaje kuungana ,kiwa falsafa tofauti, utakuwa unafiki, labda muunganishe falsafa zenu. Kuna vyama vina falsafa za kidini, huko ndio ni,eona siku za karibuni hata CCM wakijiegemeza kupata huruma ya wapiga kura. Kwa ufupi kuungana ni unafiki na pandikiz la chama tawala kupata mahala pa kuongelea maana kama hivyo mbona CCM haijawahi kuungana na cha,a chochote kuunda serikali ukiachia hayo ZNZ ambayo ilikuwa lazima ya mazingira. Waacheni CHADEMA waitwe CHADEMA, waacheni CCM waitwe hivyo, waacheni NCCR waitwe hivyo, waacheni CUF waitwe hivyo nk. Anayeshinda (sio kwa dhuluma na wizi kama uchaguzi wa mwaka huu), basi achukue nchi vingine vibaki kuwa vyama vya upinzani na nchi itasonga ila kwa wizi huu wa CCM nchi wataiingiza ktk machafuko na ndio watakaoleta vita pale umma utakapoamua nao kung'ang'ania. Katiba mpya itaondoa dhuluma na kuleta matumaini maana sasa nchi iko gizani, sio kisiasa bali kwa ajili ya maendeleo. Asante
 
wapinzani waungane sasa ili kiwe nini? Tangu 1995 hawajaungana; hoja zitakazotolewa sasa zimetolewa tangu mwanzo wa upinzani. Muungano wa upinzani kwa ufupi hauwezekani, hauitajiki na kiakili kabisa hauna sababu; at least siyo kwa wapinzani walivyo sasa.

Nakuunga mkono, sioni sababu ya kuunganisha vyama bali sera na malengo ya pamoja. Kwa mfano kuunganisha nguvu kudai katiba mpya. Lakini tulinde ubinafsi wa wanasiasa. Kwa mfano namna ambavyo Hamad Rashid alivyomalizia ule mjadala kwa kulalamikia pesa anazopokea kiongozi wa upinzani Bungeni.
 
Mjadala ungependeza kama wangekuwa wote wanaoshabihiana (umri) kama chadem wamemleta mwikwabe,nccr wamlete Kafulila na cuf wamlete Mtatiro
 
haina haja ya vyama vya upinzani kuungana kwani vingine ni mapandikizi ya chama tawala!
 
Safari kuelekea umoja wa vyama vya siasa vya upinzani kwa masilahi ya umma bado ni ndefu. Nini mtazamo wenu wanaJF na umuhimu wa ushirikiano wa pamoja kwa vyama vya upinzani nchini.
Natanguliza shukrani zangu kwa ushiriki mzuri sana wiki iliyopita.

Mkuu Yahya naona mada ingekuwa nzuri na tamu iwe hivi "Umuhimu wa ushirikiano wa pamoja wa vyama vya upinzani kudai katiba na tume huru ya uchaguzi"
 
Niseme machache tu,

Naona kuungana si sawa na haiwezekani, kila chama kina falsafa yake, na hiyo ndio nguzo ya chama chochote, mf CCM ni chama cha mapinduzi cha wakulima na wafanyakazi, sijui kama falsafa hii bado hai maana kwa sasa kuna wasio na kazi wengi sijui wataingia kundi gani, naona falsafa yao imepitwa na wakati ndio maana wanaanza kuweka na udini ktk malengo yao,anyway ni falsafa iliyokufa, CHADEMA wana falsafa ya nguvu ya umma, hii ni falsafa hai maana kila muda review za malengo yake lazima ilenge kufaidisha umma kama mwajiri wake, ndio maana hata waiponde vipi chadema itaendelea kufanya ve,a na wasiokubali falsafa hii wataondoka na kuiacha hai. CUF yenyewe inatetea haki sawa kwa wote, sijui kama kweli hilo wanalifanya maana sihaona wakitetea wachimbaji wadogo waliofukiwa na wanaotaabika machimboni, huo mfano mmoja tu. UDP upendo daima kama TYCS vile safi lakini hoja mtawezaje kuungana ,kiwa falsafa tofauti, utakuwa unafiki, labda muunganishe falsafa zenu. Kuna vyama vina falsafa za kidini, huko ndio ni,eona siku za karibuni hata CCM wakijiegemeza kupata huruma ya wapiga kura. Kwa ufupi kuungana ni unafiki na pandikiz la chama tawala kupata mahala pa kuongelea maana kama hivyo mbona CCM haijawahi kuungana na cha,a chochote kuunda serikali ukiachia hayo ZNZ ambayo ilikuwa lazima ya mazingira. Waacheni CHADEMA waitwe CHADEMA, waacheni CCM waitwe hivyo, waacheni NCCR waitwe hivyo, waacheni CUF waitwe hivyo nk. Anayeshinda (sio kwa dhuluma na wizi kama uchaguzi wa mwaka huu), basi achukue nchi vingine vibaki kuwa vyama vya upinzani na nchi itasonga ila kwa wizi huu wa CCM nchi wataiingiza ktk machafuko na ndio watakaoleta vita pale umma utakapoamua nao kung'ang'ania. Katiba mpya itaondoa dhuluma na kuleta matumaini maana sasa nchi iko gizani, sio kisiasa bali kwa ajili ya maendeleo. Asante


Thanks Malunde kwa Ingizo la wazo Jipya...WADAU Mnalitazamaje hili kwa upande mwingine wa sarafu
 
Mkuu Yahya naona mada ingekuwa nzuri na tamu iwe hivi "Umuhimu wa ushirikiano wa pamoja wa vyama vya upinzani kudai katiba na tume huru ya uchaguzi"

Thanks Fidel
Unaonaje tukiichukua kama hub ya discussion? na mada ikabaki kama ilivyo. maana ushirikiano unaozungumzwa moja ya manufaa yake ni kuwa ungeongeza tija ya pamoja katika kuelekeza umuhimu na msingi wa mabadiliko ya KATIBA.
 
Unajua tusi alilo tukanwa Mbatia? Na nini kilicho pelekea Mbatia akatukanwa?

kamwita yeye FATAKI. sijui kilichopelekea hadi kutukanwa hivyo lakini sidhani kama kuna kitukinaweza halalisha matusi ya namna hii kutoka kwa viongozi wetu tena majukwaani
 
Mjadala ungependeza kama wangekuwa wote wanaoshabihiana (umri) kama chadem wamemleta mwikwabe,nccr wamlete Kafulila na cuf wamlete Mtatiro

I real like this idea, Mabadiliko kama haya katika kualika wageni yanawezekana kwa NOTICE ya Masaa 24. ngoja tujaribu.
 
Safari kuelekea umoja wa vyama vya siasa vya upinzani kwa masilahi ya umma bado ni ndefu. Nini mtazamo wenu wanaJF na umuhimu wa ushirikiano wa pamoja kwa vyama vya upinzani nchini.
Natanguliza shukrani zangu kwa ushiriki mzuri sana wiki iliyopita.

Yahya,

Kwa Tanzania bado ni safari ndefu,kwanza ni lazima tujue misingi ya kila chama na malengo yake.Misingi ya vyama vingi vya upinzani hapa kwetu si kuleta upinzani bali kudhohofisha upinzani,kwa maana hiyo utaungana na nani na kwa malengo gani na nia gani hasa.Haya tumeyashuhudia kipindi hiki ambacho Chadema imeonyesha upinzani wa kweli,si kama vyama vingine havikuhusishwa lakini kila chama kimeanzishwa kwa malengo flani,hivyo ni vigumu kuzungumzia muungano wa wapinzani labda huko mbele wapatikane wapiganaji wa kweli.Lakini sasa bado vyama vingine tunavyovisikia vimekaa kimsingi wa mapandikizi,kwani tumeshuhudia vbikipata msaada na support kutoka chama Tawala,pamoja na wagombea wao wote.Nafikiri tusiwapotoshe watanzania sasa kwa kuleta mada ambazo zitaleta mkanganyo na kutoa maelezo yauongo kwani hakuna mtu atakaesema ukweli kati ya watu unaotaka kuwaalika kwa sababu ya masilahi yao binafsi.ushahuri wangu tengenezeni mada zitakazowajenga na kuwafungua watanzania na kuwapa dira kitu ambacho tumekikosa kwa viongozi wetu.
 
Nakuunga mkono, sioni sababu ya kuunganisha vyama bali sera na malengo ya pamoja. Kwa mfano kuunganisha nguvu kudai katiba mpya. Lakini tulinde ubinafsi wa wanasiasa. Kwa mfano namna ambavyo Hamad Rashid alivyomalizia ule mjadala kwa kulalamikia pesa anazopokea kiongozi wa upinzani Bungeni.

Umeyasoma mawazo ya Malunde pia?
 
Yahya thanks for the information.

For me in order for the Tanzania's Democracy to develop the opposition must appropriately appreciates its role and adequately carries out same with the expected altruistic motives. From what now i see from these political parties are completely befuddled. They are out of their mind and am not so sure if they know what they supposed to do for this country. They have left aside their primary responsibility of leading this country into ploitical, social and economic liberation and now doing what made them to form opposition parties.


  • The first thing we need to ask these opposition leaders is to tell we Tanzania, to what extent do they know their primary responsibilities?
  • How are they aligned to perform these responsibilities?
  • Why (each of them) do they or what makes them think that they are real opposition??
  • How can they perform it in their separation?
  • Do they know if there is any political and economical feasibility in becoming as one so as to foster for this country's development?
  • When will they be ready to leave aside their gluttony nature, and do they think they can liberate this nation with such bad nature??

Me hata nachoka kuona nakatishwa tamaa na maupinzani ya kipuuzi yasiyokuwa na maana. HAWAJUI NI DENI KUBWSA KIASI GANI WANALO KWA WATANZANIA, WANANG'ANG'ANIA MISIFA TU
 
muungano ni nguvu ila wakati mwingine si kila umoja huleta nguvu, mnaweza mkaungana na mkaimaliza hata nguvu kidogo iliyopo, unapaswa uangalie unaungana na nani dhidi ya nani? leo unaungana na cuf dhidi ya ccm wakati cuf wana muungano zanzibar, hapo unatarajia muungano huo ulete nguvu au ukudhoofishe? hakuna muungano utakaoleta faida na bila mtafaruki chini ya katiba, sheria na aina hii ya muungano. asante yahaya.
 
Yahya,

Kwa Tanzania bado ni safari ndefu,kwanza ni lazima tujue misingi ya kila chama na malengo yake.Misingi ya vyama vingi vya upinzani hapa kwetu si kuleta upinzani bali kudhohofisha upinzani,kwa maana hiyo utaungana na nani na kwa malengo gani na nia gani hasa.Haya tumeyashuhudia kipindi hiki ambacho Chadema imeonyesha upinzani wa kweli,si kama vyama vingine havikuhusishwa lakini kila chama kimeanzishwa kwa malengo flani,hivyo ni vigumu kuzungumzia muungano wa wapinzani labda huko mbele wapatikane wapiganaji wa kweli.Lakini sasa bado vyama vingine tunavyovisikia vimekaa kimsingi wa mapandikizi,kwani tumeshuhudia vbikipata msaada na support kutoka chama Tawala,pamoja na wagombea wao wote.Nafikiri tusiwapotoshe watanzania sasa kwa kuleta mada ambazo zitaleta mkanganyo na kutoa maelezo yauongo kwani hakuna mtu atakaesema ukweli kati ya watu unaotaka kuwaalika kwa sababu ya masilahi yao binafsi.ushahuri wangu tengenezeni mada zitakazowajenga na kuwafungua watanzania na kuwapa dira kitu ambacho tumekikosa kwa viongozi wetu.

Thanks Kagemro
Kwa kuwa mada ipo mezani: kwa mada hiyo hiyo nini kikiongezwa bado kitaleta malengo yaliyokusudiwa maana quality of discusant na michango kama hii pamoja we can build new Tanzania.
Lete mawazo mbadala katika hoja iliyopo mezani
Thanks kwa mara nyingine tena
 
Mdahalo usiuendeshe ukapelekea uchochezi wa chama gani kimesema nini na kipi kimesema nini.

Tunaomba uwaulize wao watachukua juhudi gani kuhakikisha haki ya mwananchi inapatikana ( ikiwa ni pamoja na katiba) na wao wanataka sisi raia tufanye nini katika kipindi hichi.

Tuko katika utawala mbovu lakini wao wanatushauri nini ili tupige hatua walau kidogo
 
Yahya thanks for the information.

For me in order for the Tanzania's Democracy to develop the opposition must appropriately appreciates its role and adequately carries out same with the expected altruistic motives. From what now i see from these political parties are completely befuddled. They are out of their mind and am not so sure if they know what they supposed to do for this country. They have left aside their primary responsibility of leading this country into ploitical, social and economic liberation and now doing what made them to form opposition parties.


  • The first thing we need to ask these opposition leaders is to tell we Tanzania, to what extent do they know their primary responsibilities?
  • How are they aligned to perform these responsibilities?
  • Why (each of them) do they or what makes them think that they are real opposition??
  • How can they perform it in their separation?
  • Do they know if there is any political and economical feasibility in becoming as one so as to foster for this country's development?
  • When will they be ready to leave aside their gluttony nature, and do they think they can liberate this nation with such bad nature??

Me hata nachoka kuona nakatishwa tamaa na maupinzani ya kipuuzi yasiyokuwa na maana. HAWAJUI NI DENI KUBWSA KIASI GANI WANALO KWA WATANZANIA, WANANG'ANG'ANIA MISIFA TU

Wise men talk because they have something to say; fools, because they have to say something. Am afraid most of irresponsible politicians are of this phrase from Plato. Beleive me majority Tanzanians are still in total blackout. These forums are a step ahead if not done mariciously.
Thanks for strong argument
 
Mdahalo usiuendeshe ukapelekea uchochezi wa chama gani kimesema nini na kipi kimesema nini.

Tunaomba uwaulize wao watachukua juhudi gani kuhakikisha haki ya mwananchi inapatikana ( ikiwa ni pamoja na katiba) na wao wanataka sisi raia tufanye nini katika kipindi hichi.

Tuko katika utawala mbovu lakini wao wanatushauri nini ili tupige hatua walau kidogo

Accountability, weledi and Jamii interest ahead is our Motto. History tells a lot about it despite few human error along the battle field.
Thanks kwa angalizo pia.
 
Back
Top Bottom