Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Katika mjadala wa ITV unaoendelea leo saa 10.30pm kulikuwepo wachangiaji mbalimbali wakiongozwa na Chua kama mwenyekiti. Lakini Ghafla RENATUS MKINGA kapotezwa Ghafla na kuwekwa Jamaa wa uchumi.
Kwa jinsi mjadala ulivyokuwa mkali Renatus mkinga alikuwa anamwaga data za uhakika ghafla kaondoliwa katika mjadala
Je Kuna agizo lolote la kumtoa??
Kwanin hawakutoa wengine ?
Kwa jinsi mjadala ulivyokuwa mkali Renatus mkinga alikuwa anamwaga data za uhakika ghafla kaondoliwa katika mjadala
Je Kuna agizo lolote la kumtoa??
Kwanin hawakutoa wengine ?