Inavyosemekana waliona yuko very critical..naskia mzee mwenye ITV alipigiwa simu na kuelezwa ile ule uchangiaji una hamasisha watu negatively ...Still waiting for more info regarding kama hata alipewa kiburudisho kabla hajaondoka
alienda kushughulikia katiba mpya ya chadema
Wajemeni ITV ni mali ya Mengi ambaye ni mwana CCM, na CCM ni chama sha mafisadi, naye mengi ni fisadi tu kama kina RA,EL,JK na wengineo.
Mbona nakumbuka nilimuona hadi mwisho wa kipindi kilipofungwa? Waliokuwepo studio please assist
hilo ndio tatizo letu waswahili wenye ukweli tunawabaniakipindi kimeisha sasa hivi saa 11.00pm hajasema kwa nini RENATUS MKINGA kaondolewa
jamani mbona mi cjaona akiondolewa? Na mpaka dakka ya mwsho alikuwepo?kipindi kimeisha sasa hivi saa 11.00pm hajasema kwa nini RENATUS MKINGA kaondolewa