Mjadala wa posho na kodi bado wawaka Bungeni; Lissu awawashia moto CCM

jamani nimekuwa nikifuatilia kikao cha bunge kinachoondelea jioni hii cha kupitisha muswada wa sheria mbalimbali. nilichokigundua ni kukomoana baina ya wabunge wa vyama viwili kana kwamba hakuna vyama vingine. Mapendekezo yamekuwa yakitolewa kuhusiana na vifungu mbalimbali vya sheria either kurekebishwa au kupitishwa kama vilivyo, sasa nichakiona hapo ni kukomoana baina ya wabunge wa vyama hivi viwili (CCM + CDM) hata kama ni marekebisho yanayoonyesha kuwagusa wengi bado ile kanuni ya kupitisha kitu kwa kutumia kura ya ndio au hapana inaonyesha ni jinsi gani wabunge hawa wanapiga kura hizo kwa kuangalia hoja imetolewa na mbunge wa upande gani hata kama inamashiko...!!!!

NAOMBA KUWASILISHA...!!!!!!
 
Huyu kweli ni kale kawaziri kadogo hana hoja iweje aongoze maandamano ktk jimbo lake kudai wawekezaji wanatunyonya ila cha kushangaza leo hii anataka kupitisha hoja ambayo inapelekea kuwanufaisha wachache na kuwaacha mamilioni ya watanzania bila kunufaika.
 
Hapo kwenye Red, Je, Mh. Mbowe anajua kwamaba:-
  1. wanaondesha hayo magari, yaani madereva ndio wanaotesa nayo mtaani wakati jamaa wanajipinda kujibu makombora na wakitoka ofisini wanarudi home hooi, dereva ana mwacha anaenda kupiga misele na vimwana kitaani?
  2. kwamba hayo magari yakiuzwa jamaa wanakua JOBLESS automatically kwa maslahi ya Taifa? na ni wengi sawa na magari yenyewe.
  3. na kwamba familia za hao madereva (wengi wana wake almost kila mji hasa Dar na Dodoma) hali itakua tete hasa haki ya msingi ya kwenda toilet (no food! njaa), and believe me kuna jeshi la wategemezi wengi sana behind those guys!
  4. sasa hilo jeshi la madereva ambao watakua jobless ghafla kuna mikakati ya kuwsaidia? maana kweli kwa kuwakopesha wahusika hayo magari gharama ya uendeshaji itapungua ikiwemo posho na mishahaara ya madereva, wizi wa mafuta na tyres etc. issue ni wataenda wapi na familia zao? Nawasilisha.

Kwani umeambiwa hao mawaziri baada ya kuuzwa hizo gari za kifahari watatembea kwa miguu? Au hizo gari za bei poa hazihitaji madereva?
 
Bunge likiwa na akina Lissu watatu na wawe kwenye kambi ya upinzani nami niambiwe nateuliwa kuwa waziri nitakataa. Jasho linamtoka Nyalandu ambaye anajitahidi kuiokoa serikali dhidi ya hoja za Lissu. Tundu Lissu anasema huyu waziri mdogo hatuammbii kitu.
Bunge hata kama lingekuwa na kina Lissu 50 kwa huyu Spika hakuna lolote yaani huyu Bi Kiroboto hafai kabisa kuwa Spika yeye yuko upande wa Serikali na kazi ambayo tumewapeleka wabunge wetu wakaifanye yakutunga Sheria huyu Mama ameikwamisha kabisa leo ndo hitma yakwamba hatuna spika kabisa kila kitu kinachotoka Serikalini na msimamo wa Serikali kupitia Mawaziri hata kama hakina Maslahi kwa Umma Mama Makinda piga ua lazima kipite ndomana hayuko fair mmeona hoja ya Zambi na Mnyika hata hoja za Lissu dhahiri Spika habalance mjadala akiona hoja ya Serikali inaelekea kupingwa haruhusu upigaji kura wa ndio au hapana.
 
Hii thread sijui imekaaje.Hivi kama hamjui kuandika si muache.

Siku hizi kila mtu ni JF member, awe anajua kuandika vizuri au vibaya. Muhimu tu ni kwamba kinachoandikwa kinasomeka na tuko pamoja nao wote.

Karibuni JF wote mpate kujua nchi inavyoliwa.
 
Lisu kajitetea tuu kuwa waziri mdogo alikuwa na maana ya nw au waziri ni mdogo kwenye mambo haya ya siasa?
 
Lisu kajitetea tuu kuwa waziri mdogo alikuwa na maana ya nw au waziri ni mdogo kwenye mambo haya ya siasa?

Kaulli ilikuwa na utata. Siamini kwamba Lissu hajui kuwa kwa sasa tuna manaibu waziri na si mawaziri wadogo!! Neno waziri mdogo lilikuwa linatumika miaka ya 70!!
 
Bunge hata kama lingekuwa na kina Lissu 50 kwa huyu Spika hakuna lolote yaani huyu Bi Kiroboto hafai kabisa kuwa Spika yeye yuko upande wa Serikali na kazi ambayo tumewapeleka wabunge wetu wakaifanye yakutunga Sheria huyu Mama ameikwamisha kabisa leo ndo hitma yakwamba hatuna spika kabisa kila kitu kinachotoka Serikalini na msimamo wa Serikali kupitia Mawaziri hata kama hakina Maslahi kwa Umma Mama Makinda piga ua lazima kipite ndomana hayuko fair mmeona hoja ya Zambi na Mnyika hata hoja za Lissu dhahiri Spika habalance mjadala akiona hoja ya Serikali inaelekea kupingwa haruhusu upigaji kura wa ndio au hapana.

Inabidi tuangalie na kujadili juu ya uendeshaji wa Bunge. Kama Bunge litaendelea kuendeshwa kwa mtindo huu basi litakuwa si Bunge tena na litakuwa haliwawakilishi wananchi kwa kuwa hoja zenye manufaa kwa nchi zinazimwa.
 
Lissu ni bonge la mjaja, yaani hapo alikuwa anamaanisha nyarandu ni mdogo katika hoja, nimependa alivyomsurpress maana hawa mawaziri utadhani sio watanzania.
N
 
Lissu ni bonge la mjanja, yaani hapo alikuwa anamaanisha nyarandu ni mdogo katika hoja, nimependa alivyomsurpress maana hawa mawaziri utadhani sio watanzania.
N
 
  • Thanks
Reactions: TKO
Lissu ni bonge la mjanja, yaani hapo alikuwa anamaanisha nyarandu ni mdogo katika hoja, nimependa alivyomsurpress maana hawa mawaziri utadhani sio watanzania.N
Yaani alinipa raha sana; kwakweli pamoja na uchache wa wapinzani, wanawafunika kishenzi!
 
Nadhani Lissu pia alikasirika kwa kuwa anatoa hoja nzito sana na hazijibiwi kwaa hoja fanana lakini mwishowe hoja yake haipiti kwa kuwa CCM wana kelele kubwa ya ndiyooooooo. Na hii ndiyoooooo itatuumiza haitunzi demokrasia ya kweli.
 
Back
Top Bottom