JUST
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 552
- 234
Leo Mh. Mbowe ameonyesha njia kwa kuwachapa viongozi wetu bakora kumi alizozituo wakati wa kuchangia mjadala wa bajeti ya fedha na uchumi ya mwaka 2011/2012. bakora hizo alizito kwa nyakati tofauti akiwa anachangia hoja hiyo.
1. waache kusafiria ndege business/first class at USD 5000 badala yake wasfirie economy class ya USD 1200 wanaotumia donors. mbona wengi wao akistaafu hawapandi tena fisrt class na wengine hata ndege hawapandi tena.
2. waache kutembelea mashangingi wakati wagonjwa wanapelekewa ambulance za bajaji
3. waache kukimbizana na semina kama zinazoanadliwa za kuhusu chanzo cha ukimwi ili wapate posho badala yake wakae ofisini na kama kuna kiongozi mpaka leo hafahamu chanzo cha ukimwi basi aachie ngazi.
4. kama kweli viongozi wanastahili maisha wanayoishi sashivi mbona wakistaafu hawawezi kununua magari mapya sanasana wananunua Rav 4 au Mark II.
5. magari yote yakifahari yauzwe na wahusika wapewe mikopo ya magari wanunue ya kwao.
6. posho zinafaidisha viongozi wa ngazi ya maamuzi tu na sio waalimu, polisi au nesi.
7. tuache uchama tueke maslahi ya taifa mbele kwa maslahi ya wanachi wa tanzania.
8. hotuba ya mbowe ilifanya mawaziri waliokuwa bungeni kuangalia chini na kuonyesha sura za huzuni.
9. posho inasababisha kiwe ni chanzo cha watumishi kuhudhuria vikao muhimu na kama haipo hakuna mahudhurio.
10. mbowe alipokuwa anchangia ni kwa mara ya kwanza wabunge wote walikaa kimya na kusikiliza kwa umakini wa hali ya juu.
source TBC kipindi cha kutoka bungeni.
1. waache kusafiria ndege business/first class at USD 5000 badala yake wasfirie economy class ya USD 1200 wanaotumia donors. mbona wengi wao akistaafu hawapandi tena fisrt class na wengine hata ndege hawapandi tena.
2. waache kutembelea mashangingi wakati wagonjwa wanapelekewa ambulance za bajaji
3. waache kukimbizana na semina kama zinazoanadliwa za kuhusu chanzo cha ukimwi ili wapate posho badala yake wakae ofisini na kama kuna kiongozi mpaka leo hafahamu chanzo cha ukimwi basi aachie ngazi.
4. kama kweli viongozi wanastahili maisha wanayoishi sashivi mbona wakistaafu hawawezi kununua magari mapya sanasana wananunua Rav 4 au Mark II.
5. magari yote yakifahari yauzwe na wahusika wapewe mikopo ya magari wanunue ya kwao.
6. posho zinafaidisha viongozi wa ngazi ya maamuzi tu na sio waalimu, polisi au nesi.
7. tuache uchama tueke maslahi ya taifa mbele kwa maslahi ya wanachi wa tanzania.
8. hotuba ya mbowe ilifanya mawaziri waliokuwa bungeni kuangalia chini na kuonyesha sura za huzuni.
9. posho inasababisha kiwe ni chanzo cha watumishi kuhudhuria vikao muhimu na kama haipo hakuna mahudhurio.
10. mbowe alipokuwa anchangia ni kwa mara ya kwanza wabunge wote walikaa kimya na kusikiliza kwa umakini wa hali ya juu.
source TBC kipindi cha kutoka bungeni.