Mjadala wa posho na kodi bado wawaka Bungeni; Lissu awawashia moto CCM

Thanks Mbowe. Kama seikali ya CCM haikusikia sisi wananchi tumesikia na ujumbe huu tunausambaza kwa wengine.

Keep CCM on their toes until 2015, their burial date. A Luta continua until final victory.
 
chadema has the cream of this national while ccm has the ukoko. Mtanisaidia ukoko unaitwaje kwa kizungu!

Chadema gogogoooooooooooo
Lisu keep it up, you have won our hearts!

Kabla hujapata neno la kizungu kwa UKOKO, tujadili hilo neno kwenye bluu ulimaanisha nini?
 
Leo Mh. Mbowe ameonyesha njia kwa kuwachapa viongozi wetu bakora kumi alizozituo wakati wa kuchangia mjadala wa bajeti ya fedha na uchumi ya mwaka 2011/2012. bakora hizo alizito kwa nyakati tofauti akiwa anachangia hoja hiyo.



1. waache kusafiria ndege business/first class at USD 5000 badala yake wasfirie economy class ya USD 1200 wanaotumia donors. mbona wengi wao akistaafu hawapandi tena fisrt class na wengine hata ndege hawapandi tena.

2. waache kutembelea mashangingi wakati wagonjwa wanapelekewa ambulance za bajaji

3. waache kukimbizana na semina kama zinazoanadliwa za kuhusu chanzo cha ukimwi ili wapate posho badala yake wakae ofisini na kama kuna kiongozi mpaka leo hafahamu chanzo cha ukimwi basi aachie ngazi.

4. kama kweli viongozi wanastahili maisha wanayoishi sashivi mbona wakistaafu hawawezi kununua magari mapya sanasana wananunua Rav 4 au Mark II.

5. magari yote yakifahari yauzwe na wahusika wapewe mikopo ya magari wanunue ya kwao.

6. posho zinafaidisha viongozi wa ngazi ya maamuzi tu na sio waalimu, polisi au nesi.

7. tuache uchama tueke maslahi ya taifa mbele kwa maslahi ya wanachi wa tanzania.

8. hotuba ya mbowe ilifanya mawaziri waliokuwa bungeni kuangalia chini na kuonyesha sura za huzuni.

9. posho inasababisha kiwe ni chanzo cha watumishi kuhudhuria vikao muhimu na kama haipo hakuna mahudhurio.

10. mbowe alipokuwa anchangia ni kwa mara ya kwanza wabunge wote walikaa kimya na kusikiliza kwa umakini wa hali ya juu.


source TBC kipindi cha kutoka bungeni.

Hapo kwenye Red, Je, Mh. Mbowe anajua kwamaba:-
  1. wanaondesha hayo magari, yaani madereva ndio wanaotesa nayo mtaani wakati jamaa wanajipinda kujibu makombora na wakitoka ofisini wanarudi home hooi, dereva ana mwacha anaenda kupiga misele na vimwana kitaani?
  2. kwamba hayo magari yakiuzwa jamaa wanakua JOBLESS automatically kwa maslahi ya Taifa? na ni wengi sawa na magari yenyewe.
  3. na kwamba familia za hao madereva (wengi wana wake almost kila mji hasa Dar na Dodoma) hali itakua tete hasa haki ya msingi ya kwenda toilet (no food! njaa), and believe me kuna jeshi la wategemezi wengi sana behind those guys!
  4. sasa hilo jeshi la madereva ambao watakua jobless ghafla kuna mikakati ya kuwsaidia? maana kweli kwa kuwakopesha wahusika hayo magari gharama ya uendeshaji itapungua ikiwemo posho na mishahaara ya madereva, wizi wa mafuta na tyres etc. issue ni wataenda wapi na familia zao? Nawasilisha.
 
Hapo kwenye Red, Je, Mh. Mbowe anajua kwamaba:-
  1. wanaondesha hayo magari, yaani madereva ndio wanaotesa nayo mtaani wakati jamaa wanajipinda kujibu makombora na wakitoka ofisini wanarudi home hooi, dereva ana mwacha anaenda kupiga misele na vimwana kitaani?
  2. kwamba hayo magari yakiuzwa jamaa wanakua JOBLESS automatically kwa maslahi ya Taifa? na ni wengi sawa na magari yenyewe.
  3. na kwamba familia za hao madereva (wengi wana wake almost kila mji hasa Dar na Dodoma) hali itakua tete hasa haki ya msingi ya kwenda toilet (no food! njaa), and believe me kuna jeshi la wategemezi wengi sana behind those guys!
  4. sasa hilo jeshi la madereva ambao watakua jobless ghafla kuna mikakati ya kuwsaidia? maana kweli kwa kuwakopesha wahusika hayo magari gharama ya uendeshaji itapungua ikiwemo posho na mishahaara ya madereva, wizi wa mafuta na tyres etc. issue ni wataenda wapi na familia zao? Nawasilisha.
sasa kuna haja gani ya kuwakopesha mawaziri kupitia mkopo wa bunge magari halafu wakipata uwaziri wanaendeshwa kifahari , damn.Ndio maana tunaita hayo ni maamuzi magumu! U loose kwa faida ya wengi . Viva Mh. Mbowe
 
Leo Mh. Mbowe ameonyesha njia kwa kuwachapa viongozi wetu bakora kumi alizozituo wakati wa kuchangia mjadala wa bajeti ya fedha na uchumi ya mwaka 2011/2012. bakora hizo alizito kwa nyakati tofauti akiwa anachangia hoja hiyo.



1. waache kusafiria ndege business/first class at USD 5000 badala yake wasfirie economy class ya USD 1200 wanaotumia donors. mbona wengi wao akistaafu hawapandi tena fisrt class na wengine hata ndege hawapandi tena.

2. waache kutembelea mashangingi wakati wagonjwa wanapelekewa ambulance za bajaji

3. waache kukimbizana na semina kama zinazoanadliwa za kuhusu chanzo cha ukimwi ili wapate posho badala yake wakae ofisini na kama kuna kiongozi mpaka leo hafahamu chanzo cha ukimwi basi aachie ngazi.

4. kama kweli viongozi wanastahili maisha wanayoishi sashivi mbona wakistaafu hawawezi kununua magari mapya sanasana wananunua Rav 4 au Mark II.

5. magari yote yakifahari yauzwe na wahusika wapewe mikopo ya magari wanunue ya kwao.

6. posho zinafaidisha viongozi wa ngazi ya maamuzi tu na sio waalimu, polisi au nesi.

7. tuache uchama tueke maslahi ya taifa mbele kwa maslahi ya wanachi wa tanzania.

8. hotuba ya mbowe ilifanya mawaziri waliokuwa bungeni kuangalia chini na kuonyesha sura za huzuni.

9. posho inasababisha kiwe ni chanzo cha watumishi kuhudhuria vikao muhimu na kama haipo hakuna mahudhurio.

10. mbowe alipokuwa anchangia ni kwa mara ya kwanza wabunge wote walikaa kimya na kusikiliza kwa umakini wa hali ya juu.


source TBC kipindi cha kutoka bungeni.
kwa point kali kama hizo lazima watulie na waangalie chini coz hawana ujasiri wakupinga ukweli unaochoma
 
Tundu Lisu ametoa hoja ya kutofuta msamaha kwenye posho zote. Wabunge wanalumbana ile mbaya. Kama una nafasi chungulia TBC1
 
Kwa Mujibu wa Lukuvi ni kwamba KUB - Mbowe anapata entertainment allowance na juzi amelipwa millioni 2!!!
 
hata kama ulikua na haraka kuja kuanzisha thread sio mbaya uki tuambia
kinacho tokea bungeni maana wengine hata hizo tv hatuna or kaa kimya
ili kesho tukasome vichwa vya magazeti na picha
 
Ya Mbowe hajakataa kupata posho lakini anataka zifutwe kwa wote!!. Kama posho zinafutwa kuna ubaya gani si wakubali basi ili Mbowe na wabunge wote wasipate posho. Hili sio swala la mtu moja bali ni swala la Kitaifa je Nchi yetu inaenda wapi ambapo Wabunge wananunua kila miaka mitano magari ya Milioni mia mbili kwa mbunge posho za kila kikao wakazi kazi yao ni vikao!!! na walimu, wanavyuo na wafanyakazi wengine kama polisi wanakaa kwenye mabati na wanaishi kwa hali ngumu sana.
 
Huyu jamaa ni mbishi sana,eti anajua kila kitu,yaani anafanya bunge liwe la ajabu,ndio maana mhe.rais aliwaomba wananch wa singida wasimpigie kura..anapenda sifa hadi anapitiliza..
 
Katika hizo bakola kumi kama viongozi wetu wataweza kukata matumizi hayo nina hakika - Elimu na Afya vinaweza kutolewa Bure au laa kuboreshwa zaidi!
 
Kama bunge litaendelea kuongozwa na wabunbge wa ccm tumekwisha, unawaona hapa bungeni yaani hawawatetei walalahoi badala yake wanalilia posho na kuwa kashifu wabunge wa cdm. Tulio na kadi za ccm nawaomba tuzirudishe ccm ni afadhali kubaki bila chama kuliko kuwa ccm. Pole wanchi wenzangu tuliowachagua ccm! si mmewaona watu wenu?
 
Umeuliza swali au una tuelezea unavo mjua?
mods pelekeni chit chat hii au ifuteni haraka
 
Back
Top Bottom