lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,028
Nchii hii ina hazina kubwa ...binafsi siamini kama tunaweza kuwa na mchora katuni wa kiwango cha juu kama hiki! Kwa hakika ina portray a big picture on where we are currently standing! Mungu wangu, sijui sasa tukitoka fisi tunaenda wapi??? By the way, unajua watu wenye uwezekano wa kuleta mageuzi kwa kupata taarifa ni wale wa mitaa yetu ya USWAHILINI??? Sasa nini wasi wasi wanaweza kukata umeme kwenye maeneo hayo (yenye watanzania wa kawaida) ili wasiweze kujua hasa mjadala ulikuwaje. TUSUBIRI