Mjadala wa Dowans ITV wasitishwa

Hakuna mjadala wa Dowans ITV leo ambao ulikuwa uanze saa 3 usiku. Wanaonyesha vipindi vingine. Imekuwaje?

wenye kujua sababu watihabarishe.
 
yaani mengi ameingiza pesa kimtindo kweli kweli.... nimeamini mengi mjanja kuliko hata RA .... yaani tisha toto tu wameshampelekea pesa asirushe kipindi ...yawezekana hata hicho kipindi kilikua hakijaandaliwa

Mjini shule
 
Marksman walitangaza muda wa tarifa ya habari kuwa hawataonesha kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wao.nahisi mafisadi wameshanunua kipindi
 
hahahahahahaha!!!!!! duu!!! kweli silolijua ni kama usiku wa giiiiiiiza!!!! eti MENGI ANA UCHUNGU NA NJI HII? ulizeni muambiwe!!!!!
 
Itakuwa kwa sababu za kisheria, lakini nashanga mahakama hiyo hiyo imemruhusu Al adawi kutoa press statement, ambayo nayo naona ni kuingilia Mahakama.
 
Kuna tetesi za kuaminika kuwa leo umeme unaweza kuzimwa mida ya sa1 jion ili kuzuia watanzania walio wengi hasi wa Dar es salaam wenye uelewa wa mambo.

kwahiyo leo jion umeme unaweza kukatika mji mzima

Mngekuwa "wenye uelewa wa mambo" kuliko sisi wa mikoani mngeendelea kuwachagua mafisadi wawaongoze. If my memory still serves me well halmashauri zote za jiji la DSM bado zinaongozwa na Chaka Chua Matokeo = CCM.

BTW ili Majadala huo unonge ningependelea wafuatao wawepo. Mh. Ngereja, Mh. Samwel Sitta, Mh. Mwakyembe, Mh. January Makamba, Mh. Mnyika, Dr. Wilbroad Slaa, Mh. Rostam Aziz, Mh. Edward Lowasa, Eng. Muhando, na mdau mmoja wa mambo ya energy ambaye nimemsahau jina lake.

BTW hawa Chaka Chua Matokeo walisharuhusiwa na Yusuph Makamba kushiriki midahalo? I'm afraid hakuna mwanachama yeyote wa CCM atafika kwenye mdahalo huo. I stand to be corrected
 
Back
Top Bottom