1. Hapo hapo said:
Labda nijaribu kukujibu kutokana na uelewa wangu hasa baada ya kufuatilia nyuzi nyingi kuhusu ndg Bashite
Swala hapa sio kuwa watu walikuwa wapi kabla
Kuna kamsemo kanasema "anything happens for a reason" baada ya bashite kutoa kauli zisizotekelezeka, approach anazotumia kutatua changamoto za mkoa, mambo anayoyafanya ambayo baadhi ya watu hawapendezwi nayo ndio ILIYOKUWA CHACHU NA SHAUKU YA KUMJUA MTU HUYU AMBAYE MUELEKEO WAKE UNA WALAKINI ANA BACKGROUND GANI, NA HAYO NDIO BAADHI YA YALIYOGUNDULIKA IKIWA NI PAMOJA NA KUJILIMBIKIZIA MALI KWA MUDA MFUPI AKIWA MADARAKANI, KUGHUSHI CHETI NA JINA, NA MENGINEYO MENGI AMBAYO NAAMINI MUDA UTAONGEA TUTAYAFAHAMU
Kwahyo tatizo sio yy kuleta ishu ya madawa, tatizo ni ule wa msemo wa too much is hamful kawa na too much statements zilizopelekea watu wamchimbe