Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #141
Soma uelewe kisha changia hojaKwani kabla hawajaingilia nini kilikuwa kinatokea?
Soma uelewe kisha changia hojaKwani kabla hawajaingilia nini kilikuwa kinatokea?
Acheni wizi hoja gani umeleta hapa .....unaleta kitu tujadili wakati umeshajipanga kutetea umbande Fulani kwa hali na Mali sisi tunajadili nini hapa .....Jikite kwenye hoja
Jenga hoja bila matusi,pia usiwe na haraka unakosea sana kuandikaAcheni wizi hoja gani umeleta hapa .....unaleta kitu tujadili wakati umeshajipanga kutetea umbande Fulani kwa hali na Mali sisi tunajadili nini hapa .....
Lipeni pesa za watu mengine ni porojo
Sent using Jamii Forums mobile app
Jikite kwenye have hoja si kupiga ramliUpuuzi huu ungeusema mbele za umma wakati uko Lindi au Mtwara leo jioni hii ungelala Mochwari.
Mnada gani ulileta hiyo bei ya elfu moja na mia tano?Kwa hiyo ni bora waneachwa walipwe shilingi 1,500 kwa kilo?
Hahaha! Watoto wa insta wamekuzidi Uwezo. Twende taratibu kuna siku utaelewa na kukaa sawa. TUUPE MUDA UFANYE KAZI YAKE.JF imevamiwa na watoto wa Insta
Huu mjadala umekuzidi kimo rudi FB
Hapa ni JF sio insta
Hoja nzito unazikwepa hivi......hebu funga mjadala wako maana ulitegemea kupongeza juhudi za kudhulumu..Huu mjadala umekuzidi rudi FB,huku ni hoja bila matusi
Habari ya kishumundu?Hoja nzito unazikwepa hivi......hebu funga mjadala wako maana ulitegemea kupongeza juhudi za kudhulumu..
.
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma mada na viambatanishoMnada gani ulileta hiyo bei ya elfu moja na mia tano?
Mwaka juzi, bei elekezi ilikuwa elfu moja na mia tatu lakini bei ya soko ilifika elfu NNE.
Nendeni mkatoe korosho zenu huko zimeanza kuota.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mnada uliowahi kutaka kununua korosho kwa tshs. 1,500. Bei oliwahi kufikiwa kwenye minada ni kuanzia tshs. 2,500 hadi 2,700.Kwa hiyo ni bora waneachwa walipwe shilingi 1,500 kwa kilo?
Hatokuelewa hata kidogo sawa na unampigia mbuzi mziki acheze kitu ambacho hakiwezekaniHakuna mnada uliowahi kutaka kununua korosho kwa tshs. 1,500. Bei oliwahi kufikiwa kwenye minada ni kuanzia tshs. 2,500 hadi 2,700.
Naona umeleta mjadala wa kitu ambacho hukielewi. Tshs. 1,500 ilikuwa bei elekezi na sio bei ya solo.
Hivyo kama siasa isingeingia wakulima wangeuza kuanzia tshs. 2,500 na kuendela huku wakilipwa cash.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanalalamik sana ila kwa kuwa ni wachache malakamiko yao hayasikiki kama ya wakulima wa kusini.Wapo kimya hao hawaumii wa kusini wanaumia na wanalia haswa....pia kumbuka kusini ndiko ambako zao la korosho linalimwa kwa wingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdogo wangu alitarajia apate pesa aanzishe biashara kilichotokea sasa pesa hajapata ameishia kukopa mpk muda huu!pesa ya korosho ikitoka ana elf 30 mkononi!!Serikali ilifanya vizuri kuingilia mchakato. Hata hivyo, ilivuka mipaka tofauti na uwezo wake. Ilitakiwa kuishia pale ambapo wanunuzi walipatikana kwa bei ya 3000+, hapo ndipo wangenufaisha wakulima na wananchi wa kusini. Hatua walioendelea nayo haikuwa sahihi na imeleta na italeta athari kubwa. Asante
Hii kauli nenda ukaiongelee Mtwara, kwa sauti watu wakusikie vizuri.
Hujui kituHakuna mnada uliowahi kutaka kununua korosho kwa tshs. 1,500. Bei oliwahi kufikiwa kwenye minada ni kuanzia tshs. 2,500 hadi 2,700.
Naona umeleta mjadala wa kitu ambacho hukielewi. Tshs. 1,500 ilikuwa bei elekezi na sio bei ya solo.
Hivyo kama siasa isingeingia wakulima wangeuza kuanzia tshs. 2,500 na kuendela huku wakilipwa cash.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani nini kinatokea kwa Serikali kutonunua Mazao mengine?Mjadala: Nini kingetokea Serikali isingeingilia biashara ya zao la korosho?
Kumekuwa na mjadala mkubwa tangu serikali ilipotangaza kuzuia wanunuzi wa zao la korosho ambao walijipanga kulipa wakulima wastani wa shilingi 1,500-1,700/- kwa kilo badala ya bei ya angalau shilingi 3,300 ambayo serikali inaamini wakulima wanapaswa kulipwa.
Ikumbukwe, kabla ya serikali kuingilia kati waliibuka wanasiasa wakiongozwa na Zitto Kabwe wakipaza sauti wakiitaka serikali inunue korosho kutoka kwa wakulima ili kuwakinga na hasara kutokana na wafanyabiashara waliotaka kuwanyonya wakulima. Japo kwa sasa ameibuka na kuyapinga maneno yake ya mwanzo.
Hoja kubwa ya kujadili ni nini kingetokea kama serikali isingeingilia biashara ya korosho? hali za wakulima ingekuwaje? wanasiasa leo wangesema nini dhidi ya serikali?
Ni kweli kuwa zoezi la serikali kununua korosho limekuwa taratibu kuliko ilivyokadiriwa. Lakini, ukweli unabaki wakulima na wadau halali wa korosho wananufaika zaidi na hatua ya serikali kuliko wangeachwa wanyonywe na walanguzi.
Zaidi ya wakulima kunufaika, unamuzi wa serikali umeweka nidhamu kwa walanguzi na wanunuzi wa korosho kutotumia mwanya wa kuungana na kupotosha soko kwa kutoa bei zisizo halisi.
Pamoja na wengi kupiga ramli kuwa ''katika msimu ujao wanunuzi wa korosho hawatakuja'' ulozi huu hautatimia kwani hata sasa baadhi ya wanunuzi halisi wanaoomba serikali na wako tayari kulipa bei iliyopendekezwa ambayo itamnufaisha mkulima, kinyume na ramli za akina Zitto kuwa serikali inapoteza dola milioni 600.
Hitimisho, Wakulima wangekuwa na hali mbaya zaidi kama serikali isingeingilia kati biashara ya korosho.
Rejea;
View attachment 992451
Wafanyabiashara waiomba Serikali inunue korosho za wakulima - JamiiForums
Piga hesabu mwenyewe, 3000 ambayo haujui utaipata lini, na 1500 ambayo unaipata hapo hapo.Kwa hiyo ni bora waneachwa walipwe shilingi 1,500 kwa kilo?
Jikite kwenye hoja