kuhusu kulima mpunga Ndiyo kwanza naanza sijawahi lima sehemu nyingine , na maeneo ni kijiji cha namawala, sitakuwa full time shamba lakini naplan kuwa na visit mara mbili kwa mwezi
Kama usimamizi ni wa remote control kama unavyoonyesha basi inatakiwa uwe na mtu / meneja ambaye atakuwepo muda wote shambani. Kitu kingine kwenye labour ume understimate sana kwani uvunaji unahitaji watu wengi. Angalizo muhimu, kama unapanga kulima sehemu za Mtimbila au Malinyi wakati wa kuvuna watu wa kuvuna ni wachache sana unaweza ukahitaji kutafuta watu kutoka Shinyanga au Kigoma. Mbona hakuna gharama za kuhifadhi (storage)?