musicarlito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 588
- 904
Ndoa sio hisia ...tofautisha hisia za mwili wako na ndoa...wapo watu wanasherehekea miaka 50 70 na zaidi ya ndoa...hao nao ni hisia?Kwahiyo hutaoa ?
Ndoa sio hisia ...tofautisha hisia za mwili wako na ndoa...wapo watu wanasherehekea miaka 50 70 na zaidi ya ndoa...hao nao ni hisia?Kwahiyo hutaoa ?
Sasa hapo ungemjibu aliye comment hiyo!Ndoa sio hisia ...tofautisha hisia za mwili wako na ndoa...wapo watu wanasherehekea miaka 50 70 na zaidi ya ndoa...hao nao ni hisia?
Kuishi ni mwanamke si lazima kumuoa.Kwahiyo hutaoa ?
Familia inaweza kuwepo bila ndoa.Kwa hoyo unapinga kabisa uwepo wa familia?
Mambo yamebadilika Mkuu.Familia inaweza kuwepo bila ndoa.
Kuna familia nyingi sana hazina ndoa.
Mimi sipingi familia.
Napinga ndoa.
ile kuandikishana makaratasi na mkataba.