Suleman Jr
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 341
- 517
Kugonga mnataka ila kugongewa mnaogopa,
😂😂😂😂 Hapana mkuu Nina ndugu mkolani.....na nishawai ishi huko muda kidg.....pale nyahingiWewe utakuwa unaishi mkolani.
Hahahahaha, nyahingi msikitini au kwa mangi, haya poa.😂😂😂😂 Hapana mkuu Nina ndugu mkolani.....na nishawai ishi huko muda kidg.....pale nyahingi
Tulieni kwenye ndoa mtakuja kuuliwaWanaume punguzeni umbea.....
Nyahingi kweny maduka ya wakurya kwa juuHahahahaha, nyahingi msikitini au kwa mangi, haya poa.
NakaziaWanaume punguzeni umbea.....
Ndoa ni kwa ajili ya kuijaza dunia tu. Nothing elseSasa kuna maana gani ya kuoa?
Wanaume punguzeni umbea.....
Kwa hiyo huyo mwanamke mmoja kabeba dhambi za wanawake wote?Kwakweli vijana msioe, tafuta watoto ufanye mambo yako yatakupa furaha, kuoa ni kujivika mabomu makubwa sana na kujisogeza karibu na kifo, hata Wanasayansi wakubwa wenye akili timamu hawakuoa, if you want to achieve grater things tafuta mwanamke mwenye akili au usioe kabisa...
Pitapita zangu baada ya shughuli nimekaa na mwana mmoja tunapanga mipango bodaboda ikashuka imebeba mdada mida ya saa 12 jioni, nikamwambia boda akirudi anipitie...
Alivyorudi akanambia broo unajua nini? Nikamjibu sijui!!! Broo sidhani kama nitaoa nikamuuliza kwanini? akajibu unamuona huyu mdada nimeshuka nae? Nikamjibu ndio, akasema huyu binti amekuja sokoni kuemea buhongwa hapo akapigiwa simu na hawara yake akaacha kapu la mboga kwa muuza mboga akadaka boda chap ili hawai kuchezea kongamano. Nikamuuliza amejuaje ni mke wa mtu? akasema anamjua vizuri alafu kavaa na pete, then akamwambia boda baada ya d.k 15 atampigia amfate amchukue.....
nikwamwambia boda wazo lako ni sahii imagine hapo mwanamke anarudi home mkavuuu kabeba kapu la mboga kumbe katoka kuchezea "boloyang"
Kuoa ni kujivika mabomu kudadeki
Wanaume tunaonena huruma.Si ndio hapo sasa eti mtu hamjuani halafu anakwambia unajua nini unasema sijui
Wanawake wengi ni walewale sio wote lakini hawa slay queen pasua kichwaKwa hiyo huyo mwanamke mmoja kabeba dhambi za wanawake wote?
Acha ushamba dogo
Na hata akijua kitaangushwa kilio na kuombwa msamaha kuwa shetani alimpitia na yataisha maisha yataendelea kama kawaida😂😂😂Bahati nzuri mume wake hatojua. That's all matters ili ndoa idumu.
Si ndio hapo sasa eti mtu hamjuani halafu anakwambia unajua nini unasema sijui
Sisi wanaume tuko real wala hatupretend pia ni rahisi sana kuwa na conversation na stranger yoyote kwa jambo lisilo sawa.Si ndio hapo sasa eti mtu hamjuani halafu anakwambia unajua nini unasema sijui
Sasa kwanini msitulie?Unakuta mtu anajiachia anagongwagongwa,sijui hajui kua heshima yake inashuka?Wanaume punguzeni umbea.....