emavalery
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 628
- 1,237
Yaani ww akili huna kabisa...unalazimisha vitu, hamna sheria inayotaka uoe au kuolewa...sio sheria, umelewa mipombe yako unakuja fanya hitimisho lako...Kijana husika na kichwa hapo juu.
Kumekuwa na wimbi kubwa Sana la vijana wa kileo nikiwemo Mimi kwamba katutaki kuoa kutokana na masekeseke mengi waliyonayo hawa mademu.
Ila ukweli mchungu ni kwamba tutaoa Tu.. tutake tusitake tujiandae tu Kwa hilo hakuna namna sasa.
Narudia tena... TUTAKE TUSITAKE TUTAOA TUUU.
NI WAY OUT.
Kaa tulia.