Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Nimeshanegotiate sana, wakasema 4m wakati kisa nimemkuta Bikra Sasa nikumuacha bikra utarudi em nisaidie??
Huwa hatuoi Kwa kuwa Mwanamke ni bikra

Huwa tunaoa baada ya kupima na kujiridhisha kwamba ni kweli ni chaguo sahihi kwako na Watoto ambao Mungu atawajalieni

Na Kwa taarifa, mahari huwa inakuwa negotiated na Mume/Mke Kwa upamoja wenu

Hakuna Mwanamke ambaye anaweza kumtajia mpenzi wake mahari kubwa wakati anajua fika uwezo wa mpenzi wake

Kwahiyo ongea naye kwamba una uwezo wa kumtolea mahari shilingi 500k, 1,000k ama 4,000k baada ya hapo ndiyo ataenda kuwaeleza Wazazi wake
 
Kuna maneno ya chini chini wanadai jamaa kama katusaliti na anaelekea kufunga ndoa.

Kwa type ya hawa watu tuna kuja na No reform No marriage.
IMG_1561.jpeg
 
Back
Top Bottom