Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,907
- 57,704
Huwa hatuoi Kwa kuwa Mwanamke ni bikraNimeshanegotiate sana, wakasema 4m wakati kisa nimemkuta Bikra Sasa nikumuacha bikra utarudi em nisaidie??
Huwa tunaoa baada ya kupima na kujiridhisha kwamba ni kweli ni chaguo sahihi kwako na Watoto ambao Mungu atawajalieni
Na Kwa taarifa, mahari huwa inakuwa negotiated na Mume/Mke Kwa upamoja wenu
Hakuna Mwanamke ambaye anaweza kumtajia mpenzi wake mahari kubwa wakati anajua fika uwezo wa mpenzi wake
Kwahiyo ongea naye kwamba una uwezo wa kumtolea mahari shilingi 500k, 1,000k ama 4,000k baada ya hapo ndiyo ataenda kuwaeleza Wazazi wake