Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

K zinanifanya nibabaike pale ninapotaka kuoa, yaani nikitaka kumwoa Selina naukumbuka utamu wa Aisha, nikitaka kumweka ndani Samia naukumbuka utamu wa Asha yaani kichwa hakitulii.
Kuoa ni muhimu na kutembeza rungu pia ni muhimu.
Muweke ndani selina endelea kutembeza rungu kwa aisha, samia, asha nk
Mbona simpo tu
 
Kuoa ni muhimu na kutembeza rungu pia ni muhimu.
Muweke ndani selina endelea kutembeza rungu kwa aisha, samia, asha nk
Mbona simpo tu
Screenshot_20250208-211217~2.jpg

Wakati akifanya hivyo akumbuke alichokifanya trump.
 
Asalamaleku!!

Mtu mzima secretarybird rasmi najiunga na team kataa ndoa baada ya kujitafakari kwa siku nyingi. Sababu kuu iliyonifaya kuchukua uamuzi huu ni kuwa Kuna utafauti (wa utamu) kati ya papuchi Moja na nyingine.

 K zinanifanya nibabaike pale ninapotaka kuoa, yaani nikitaka kumwoa Selina naukumbuka utamu wa Aisha, nikitaka kumweka ndani Samia naukumbuka utamu wa Asha yaani kichwa hakitulii.

Hii imenifanya sasa niache kuoa ili nifaidi kote kote, pia hii sasa ni fursa kwa wale wanawake wanaoshindwa kufikishwa kileleni
Kuja kuniona ili kukata kiu zao.

Angalizo: Nimekataa ndoa lakini katu siachi kutembeza rungu kipepe.

Bye bye!
Mimi nipo timuni .......sihangaiki kutafuta mabaa medi wala mtoto wa nani nikigeuka tu kitandani pangu imo
 
Asalamaleku!!

Mtu mzima secretarybird rasmi najiunga na team kataa ndoa baada ya kujitafakari kwa siku nyingi. Sababu kuu iliyonifaya kuchukua uamuzi huu ni kuwa Kuna utafauti (wa utamu) kati ya papuchi Moja na nyingine.

 K zinanifanya nibabaike pale ninapotaka kuoa, yaani nikitaka kumwoa Selina naukumbuka utamu wa Aisha, nikitaka kumweka ndani Samia naukumbuka utamu wa Asha yaani kichwa hakitulii.

Hii imenifanya sasa niache kuoa ili nifaidi kote kote, pia hii sasa ni fursa kwa wale wanawake wanaoshindwa kufikishwa kileleni
Kuja kuniona ili kukata kiu zao.

Angalizo: Nimekataa ndoa lakini katu siachi kutembeza rungu kipepe.

Bye bye!
Mzee mmoja alikuwa Jirani Yangu Mkoa wa Pwani.

Alikuwa diwani miaka ya 90 hadi 2000. Kutokana na status yake alikuwa anaoa na kuacha. Alitembeza Rungu kwa wanawake wengi sana. Akizaa na kutelekeza kila kona.

Kutokana na muda udiwani ukaisha, uzee ukaingia, Mke wake akafariki akabaki na watoto wake wa kike.

Hivi tunavyoongea sasa hivi mambo yake yako hivi.

1. Watoto wote wa kiume ni wavuta bangi na wengine ni mashoga.
2. Watoto wake wa kike ambao wananishi na mzee wao ni watatu wote wamezalia nyumbani kila mmoja ana mtoto zaidi ya wawili.

3. Hao watoto wa kike kwa sasa wanaishi kwa umalaya na wanafanyia nyumbani kwa baba yake. Kuna siku Baba yake alimkuta mtoto wake anaFirwa Live sebleni.

4. Baada ya hapo yule mzee ana Depression. Kufa hajafa lakini cha moto anakipata.

Nilimtembelea huyu mzee ili kumtia moyo mambo aliyonisimulia anakiri kuwa Mungu anamlipa matendo aloyofanya.

Kwa hiyo Mleta Mada wewe piga tu kwa sana. Tembeza rungu mpaka livunjike.
 
Back
Top Bottom