THE BEEKEEPER
JF-Expert Member
- Feb 23, 2024
- 1,548
- 7,516
Haha
Tuwape pole sanaaaaaLeo kuna wanetu waliooa watumishi wa serikali wanachapiwa wake zao Dodoma
Yaani nguo zinakufanya uone ndoa changamotoNdoa changamoto sana, mfano mdogo tu tu kwenye ndoa kabati langu kubwa kidogo milango 3 lote limejaa nguo zake tu, zangu saivi nimeweka kwenye jaba.




Hoja yangu ilikua mwanaume kwenye ndoa ni mwenye kupoteza na sikupata.Yaani nguo zinakufanya uone ndoa changamoto![]()
🔨🔨🔨 Kama huishi nae basi analiwa, na kama wewe ni mzee wa masafa marefu basi ni analiwa sana.1. Ukiamua kuoa hebu kaa na mkeo ndani ya paa moja.
2. Kama wote ni wafanyakazi basi lazima mmoja akubali kuacha Kazi ili kulea hiyo ndoa. Vinginevyo mwanaume mwenzangu utasaidiwa sanaaa.
We mwanachama wa kataa ndoa mkuu??Niko Siti Nyuma ya Dereva na niko Singo... Biryani leo ijumaa nimepika mwenyewe nakula mwenyewe apa ndani magetoni
Tuendelee kuamini kata misimamo ya chama Cha kataa NdoaJe sisi ambao hatujatoa Ada ya uanachama unatuambiaje?
pamoja sana comrade, kataa ndoa Linda Uhuru wakonarudi geto mdaa ninaotaka siwazi kugongewa mam yangu nikiamua sirudi geto ata mwezi why ni oe wanawake wenyewe miyeyusho
Moja ya chama makini, kinacho wapa ukweli mchungu Wana chama wake.Pamoja sana, Chama langu