Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,859
- 24,337
Katika hiki kizazi cha digitali kumeibuka mjadala mkali kati ya vijana na watu wa makamo kuhusu suala la kuwapisha watu wazima kwenye siti za magari.
Busara: Wazee/watu wazima inatakiwa wapewe siti kwani kusimama kwenye daladala ilihali vijana wamekaa ni utovu wa nidhamu.
Hoja za vijana: Wazee wanaiona gari zimejaa lakini bado wanaingia kwenye magari ili iweje?
Pia vijana wanasema mbona hakuna umuhimu wa kuwapisha, kwani Kila mtu anapambana na hali yake [mbona wazee hawataki kutupisha kwenye ajira].
Karibu kwenye mjadala na hoja konki.
Busara: Wazee/watu wazima inatakiwa wapewe siti kwani kusimama kwenye daladala ilihali vijana wamekaa ni utovu wa nidhamu.
Hoja za vijana: Wazee wanaiona gari zimejaa lakini bado wanaingia kwenye magari ili iweje?
Pia vijana wanasema mbona hakuna umuhimu wa kuwapisha, kwani Kila mtu anapambana na hali yake [mbona wazee hawataki kutupisha kwenye ajira].
Karibu kwenye mjadala na hoja konki.