Mjadala kuhusu ndoto yako

GEMO

JF-Expert Member
May 5, 2016
250
277
Naomba kuanzisha mjadala kwa njia ya maswali…….
1. Je ulipenda kuwa Mwalimu au ni matokeo ya maisha ?
2. Kwanini ulisomea uwalimu?
3. Kama ulipenda nini kilichokuvutia kupenda hii kazi? Kama hapana maana yake kuna taaluma unayoipenda/uliipenda tofauti na uwalimu….Je ni ipi hiyo?
4. Umeshakuwa Mwalimu tayari, yamkini ulikuwa na ndoto nyingine hapo kabla…..Vipi kuhusu ndoto hiyo au ndo imekufa?
5. Je ili uweze kuishi ndoto yako inakupasa ufanye nini sasa?
6. Naamini wapo walimu humu wana malengo ya kubadili kazi au kama wanavyosema kuacha kazi ila kimsingi ni kubadili kazi wafanye kile wanachokipenda…..Toa ushauri wako wa kimkakati?
7. Miaka ingerudi nyuma mpaka mwaka ule uliochagua teaching profession, je ungeichagua tena? Au ungebadili maamuzi?
 
Nianze mimi mwenyewe kujibu hayo maswali……1. Sikupenda kuwa Mwalimu…wala sikuwahi kufikiria niliichukia hii kazi coz mama yangu ni Mwalimu so nilijua shida za hii kazi in details 2. moja ni mkopo mbili ni fursa ya kazi 3. Sikuipenda hii kazi…ni ngazi tu ya kufika kule ninakotaka kwenda…….Napenda biashara 4. Nope lazima niishi ndoto yangu 5. Nirudi shule kusoma masomo ya biashara 6.Kitu kikubwa ni kujua kile unachotaka kukifanya, kuweka malengo na kuwa na nidhamu ya kuyafanyia kazi…. 7. Nisingeichagua….kwa wakati ule nilikuwa sahihi sio sasa.
 
mi sikuwa nikifkria kuwa mwl wala sikuogopa kukosa mkopo kwa course yangu,sikuchagua kuwa mwl,ila nimefany kwa muda kaz y ualimu as a part time tchr.nvofanya nlitaman ngesoma ualimu,bt sema t bhas haikuwa ndoto yangu.
 
mi sikuwa nikifkria kuwa mwl wala sikuogopa kukosa mkopo kwa course yangu,sikuchagua kuwa mwl,ila nimefany kwa muda kaz y ualimu as a part time tchr.nvofanya nlitaman ngesoma ualimu,bt sema t bhas haikuwa ndoto yangu.
Vizuri sana mkuu ulipofanya part time nini kilikuvutia?
 
Vizuri sana mkuu ulipofanya part time nini kilikuvutia?
nilipenda tuu,vile jins unakuwa unafundisha au unatoa vitu unafahamu kwa wanafunz pia kuna hali fulani ivi inafurahisha especially pale unapokuwa unafundisha na watoto wanafaulu na kuappreciate kazi yako,kweny maslahi sikugusa sabu sikuajiriwa so sijajua changamoto zake nyingi but nilikuwa najskia raha sana kuongoza kundi la wanafunz hadi nikaamua niwe nafundisha madarasa yote kuanzia f1 hadi f4 mkuu.huenda nilipenda kazi kwasabu si fani yangu au sikuwa employed ila ni nzuri.
 
Kazi ya ualimu ni nzuri japo mm cyo mwalimu nilisomea masomo ya biashara coz nilipenda bt nishawahi kufundisha wanafunzi chuo flan hvi cha madini Arusha maslahi yalikua ya kati coz they was pay me 10000 Tsh kwa kipindi kimoja ambacho ni kwa saa mbili na kwa wiki nilikua nina vipindi tano nilikua nafundisha Entrepreneurship Education lakini kazi hii ina changamoto hasa upate wanafunzi ambao awapendi somo yako... For really ni kazi nzuri na yenye heshima tele.. Bt kama ilikua cyo ndoto yako we kusome... Nivizuri kufanya yafuatayo..... Identity which it was ya dream na ckushauri uwache kazi bali ni vizuri tu kujua ndoto yako alafu mwaka ndyo unaanza panga mikakati juu ya ndoto yako ata kama ni kubwa anza kidogo
 
nilipenda tuu,vile jins unakuwa unafundisha au unatoa vitu unafahamu kwa wanafunz pia kuna hali fulani ivi inafurahisha especially pale unapokuwa unafundisha na watoto wanafaulu na kuappreciate kazi yako,kweny maslahi sikugusa sabu sikuajiriwa so sijajua changamoto zake nyingi but nilikuwa najskia raha sana kuongoza kundi la wanafunz hadi nikaamua niwe nafundisha madarasa yote kuanzia f1 hadi f4 mkuu.huenda nilipenda kazi kwasabu si fani yangu au sikuwa employed ila ni nzuri.
Ni kweli mkuu kuchangia mafanikio ya mtu mwingine inaleta furaha hivi ila kuna zaidi ya appreciation..
 
Ni kweli mkuu kuchangia mafanikio ya mtu mwingine inaleta furaha hivi ila kuna zaidi ya appreciation..
yeah kitu najivunia icho mkuu,ni jambo zuri ila sijajua kwanin ambao ni walimu by profession weng si marafik wa wanafunz wote au weng ni hawapend hyo kazi? sababu inaweza kuwa kama yako kwamba kwasababu hawakupenda kusom ualimu?
ila walimu weng wa zaman ni wazur especially wale wa primary ndio huwa wanaelewana na kuwapenda wanafunz weng tofauti na hawa wa sasa.kwanin?
 
Kazi ya ualimu ni nzuri japo mm cyo mwalimu nilisomea masomo ya biashara coz nilipenda bt nishawahi kufundisha wanafunzi chuo flan hvi cha madini Arusha maslahi yalikua ya kati coz they was pay me 10000 Tsh kwa kipindi kimoja ambacho ni kwa saa mbili na kwa wiki nilikua nina vipindi tano nilikua nafundisha Entrepreneurship Education lakini kazi hii ina changamoto hasa upate wanafunzi ambao awapendi somo yako... For really ni kazi nzuri na yenye heshima tele.. Bt kama ilikua cyo ndoto yako we kusome... Nivizuri kufanya yafuatayo..... Identity which it was ya dream na ckushauri uwache kazi bali ni vizuri tu kujua ndoto yako alafu mwaka ndyo unaanza panga mikakati juu ya ndoto yako ata kama ni kubwa anza kidogo
ni sahihi mkuu,unachokisema...coz mwenyew nipo nipenda sana kusoma nursing but mekuj kusom kitu kingne ila bado nina ndoto iyo na naeza kuitimiza nkiamua.
 
Kazi ya ualimu ni nzuri japo mm cyo mwalimu nilisomea masomo ya biashara coz nilipenda bt nishawahi kufundisha wanafunzi chuo flan hvi cha madini Arusha maslahi yalikua ya kati coz they was pay me 10000 Tsh kwa kipindi kimoja ambacho ni kwa saa mbili na kwa wiki nilikua nina vipindi tano nilikua nafundisha Entrepreneurship Education lakini kazi hii ina changamoto hasa upate wanafunzi ambao awapendi somo yako... For really ni kazi nzuri na yenye heshima tele.. Bt kama ilikua cyo ndoto yako we kusome... Nivizuri kufanya yafuatayo..... Identity which it was ya dream na ckushauri uwache kazi bali ni vizuri tu kujua ndoto yako alafu mwaka ndyo unaanza panga mikakati juu ya ndoto yako ata kama ni kubwa anza kidogo
Mkuu kazi hii haina heshima hiyo unayoisena labda zamani sana ila kwasasa no
 
yeah kitu najivunia icho mkuu,ni jambo zuri ila sijajua kwanin ambao ni walimu by profession weng si marafik wa wanafunz wote au weng ni hawapend hyo kazi? sababu inaweza kuwa kama yako kwamba kwasababu hawakupenda kusom ualimu?
ila walimu weng wa zaman ni wazur especially wale wa primary ndio huwa wanaelewana na kuwapenda wanafunz weng tofauti na hawa wa sasa.kwanin?
Walimu wengi wako desperate sana na maisha so ni ngumu wao kufanya kazi vizuri.... Kazi hii inahitaji sana utulivu wa akili
 
ni sahihi mkuu,unachokisema...coz mwenyew nipo nipenda sana kusoma nursing but mekuj kusom kitu kingne ila bado nina ndoto iyo na naeza kuitimiza nkiamua.
Hili suala la kusomea kitu kingine tofauti na kile unachokipenda lipo sana
 
Walimu wengi wako desperate sana na maisha so ni ngumu wao kufanya kazi vizuri.... Kazi hii inahitaji sana utulivu wa akili
ah kweli mkuu,pia huwa inahitaji kutumia muda wako wa ziada kuandaa baadhi ya mambo kabla ya kwenda darsan au shuleni kufundisha.so weng huenda hawajajipanga kwa hili na mengne mengi...ndo mana
 
Back
Top Bottom