Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

Jenerali shukuru kwa kupata habari iliyokuwezesha kuuza gazeti.

Kama dawa inaponyesha au haiponyeshi hilo wewe halikuhusu.

Wangapi waliokuwa mahospitalini miaka nenda rudi na hawajapona? kuna ubaya gani wakienda Loliondo?

Angegundua mzungu Jeneráli asingeongea haya ila kwa vile ni Babu Mwasapile basi imekuwa nongwa.
 
Jenerali anataka kuanzisha mjadala ambao majibu anaweza kuyapata yeye mwenyewe.
Loliondo sio mbali, kwa nini asiende kujionea mwenyewe akiwa kama mtafiti?

What testimony do you want if thousands and thousands of people are scrambleling for KIKOMBE every day!!!

Anaongea kuhusu kutumia kikombe kimoja!! ana uhakika na hayo au ni maneno matupu?

I call upon Jeneraly once again that "No research, no right to say"
 
kama mwandishi wa habari mkongwe angepaswa kushuhudia kwa macho yake na sio kubase kwa hearsay remotely. Tena awauliza madaktari wenye clinic za hiv na sukari apate hata neno la kuandika substatially
 
Ni mawazo yake tu na mawazo yanaweza kuwa mazuri ama mabaya. Ila katika para ya mwisho kanichefua zaidi hii ni assumption na huyu ni miongoni mwawaandishi wakongwe anajua uandishi haujengwi na assumption.
 
namuunga mkono Jenerari,huo upuuzi wa mganga wa loliondo ni sawa na DECI,watu tuliwaambia hapo nyuma DECI ni utapeli watu hawakusikia,inashangaza sana tena sana katika hizi zama za maendeleo watu wazima na akili zao wanadanganyika eti na miujiza ya dawa ya Loliondo,na kwa ujinga huo hata serikali nayo imeingia mkenge wa kumruhusu huyo mzee tapeli eti aendeleze tiba,jamani si hapo nyuma serikali ilipiga marufuku hayo mambo ya waganga wa kienyeji.Jamani msiwe wajinga hakuna dawa inyotibu ukimwi au kisukari hivi sasa ,dawa ni kufuata masharti.
 

Haya tena Wadau, naona kumekucha kuhusu Babu. Msomeni huyu Jenerali Ulimwengu kuhusu huyo Babu – anaonekana ana wasiwasi naye sana – lakini atoa sababu zake!


Yes we have faith... but placing it wholesale on a bush healer's beyond being gullible

By JENERALI ULIMWENGU

Why does this bush scientist refuse his drug to undergo lab testing?

More curious was a plea from his assistant to the government for urgent steps to be taken to improve sanitation in the area to avert a disease outbreak caused by the uncontrolled human press. How could anyone with the powers to cure diabetes and HIV/Aids be worried about dysentery?

Pamoja na heshima zote nilizonazo kwa Ulimwengu, nachelea kusema haya ni maswali mepesi kuulizwa naye.Majibu ni kama ifuatavyo

1.Amekataa isiwe tested katika lab sababu hiyo siyo scientific medicine...nadhani unajua huwezi kuprove that God ana-exist in the lab
2.Hata kama dawa yake inatibu Ukimwi au Diabates ambayo ni magonjwa makubwa, siyo sahihi kusema basi watu wasichukue tahadhari ya kupata magonjwa mengine kama kipindupindu.....ni sawa sawa kama wewe uwe na dawa ya Malaria ndani basi ulale tu bila chandarua au bila kuchukua tahadhari yeyote ya kuumwa Malaria sababu dawa ipo

In general, kwa sababu ulizotumia nashindwa kuungana nawe katika doubts zako...
 
namuunga mkono Jenerari,huo upuuzi wa mganga wa loliondo ni sawa na DECI,watu tuliwaambia hapo nyuma DECI ni utapeli watu hawakusikia,inashangaza sana tena sana katika hizi zama za maendeleo watu wazima na akili zao wanadanganyika eti na miujiza ya dawa ya Loliondo,na kwa ujinga huo hata serikali nayo imeingia mkenge wa kumruhusu huyo mzee tapeli eti aendeleze tiba,jamani si hapo nyuma serikali ilipiga marufuku hayo mambo ya waganga wa kienyeji.Jamani msiwe wajinga hakuna dawa inyotibu ukimwi au kisukari hivi sasa ,dawa ni kufuata masharti.

Mimi sioni utapeli hapo kwa sababu "dawa" ya Babu iko based kwenye imani ya mtu na watu hawalazimishwi kwenda na wala Babu hawafuati. Watu wanaenda kwa hiari zao wenyewe, sasa utapeli uko wapi hapo?

Nadhani ni kwa sababu tu Babu kaanza kufunika na watu sasa wanamletea kauzibe. Go Babu go!!!!
 
Pamoja na heshima zote nilizonazo kwa Ulimwengu, nachelea kusema haya ni maswali mepesi kuulizwa naye.Majibu ni kama ifuatavyo

1.Amekataa isiwe tested katika lab sababu hiyo siyo scientific medicine...nadhani unajua huwezi kuprove that God ana-exist in the lab
2.Hata kama dawa yake inatibu Ukimwi au Diabates ambayo ni magonjwa makubwa, siyo sahihi kusema basi watu wasichukue tahadhari ya kupata magonjwa mengine kama kipindupindu.....ni sawa sawa kama wewe uwe na dawa ya Malaria ndani basi ulale tu bila chandarua au bila kuchukua tahadhari yeyote ya kuumwa Malaria sababu dawa ipo

In general, kwa sababu ulizotumia nashindwa kuungana nawe katika doubts zako...

Watu wanadhani sayansi ina majibu ya kila kitu kilichopo hapa duniani wakati wala si hivyo!!

Wamwache Babu bana...hata imani nayo huponya!
 
How could anyone with the powers to cure diabetes and HIV/Aids be worried about dysentery?

Ni ajabu kuwa kauli ya kitoto kama hii inatoka kwa Jenerali...sikutegemea!
Dysentery ni ugonjwa ambao unatokana na uchafu kuzagaa...Na kwa babu kuna makundi ya wagonjwa ambapo hakukuwa na vyoo hadi wadau walipoamua kufanya fatiki ya kujenga vyoo!...U wezekano wa kuzuka ugonjwa huu ulikuwa ni tishio kwa namna yoyote, and that has got nothing to do with babu..ni ishu ya kiaffya tu!..
Na kwa bahati nzuri ugonjwa huu unatibika kwa kutengeneza mazingira yawe safi!
Cha ajabu Jenerali anamshangaa babu kuogopa Dysentery!...Babu hatibu homa za matumbo na kuhara, anatibu magonjwa makuu yanayojulikana ambayo hospitalini yameshindikana...kumuuliza swali hili ni kufikiria chini ya uwezo!

 
No, this trick won't work... How on earth are you ever going to explain in terms of chemistry and physics so important a biological phenomenon as cure by belief?
 
Dera Generaly,

No, this trick won't work... How on earth are you ever going to explain in terms of chemistry and physics so important a biological phenomenon as cure by belief?
 
Mi nawaambia mkatae msikatae mkubali msikubali kwa macho yangu nimeona waliooenda kwa babu wamepona hao ni watu kadhaa na walikuwa na magonjwa unayoyaona kwa macho.
Amka wewe acha ushabiki usio na maana. Inaelekea hata DECI ulitetea hivyoX2.
 
Hana anayempotosha, ukisoma jina lake tu hapo chini unaelewa ndo wale waleeee, wanaokwendaga kwenye mihadhara kutukana dini za wenzao. Hana ajualo wala analoelewa. Baba mwenye nyumba mwenyewe kakimbilia huko na keshapata dozi, kamuulize. Looh! Watu wengine wadhani kuandika saaaaanaaaa kurasa kitabu ndo tutakubali hadithi yako iliyojaa udini na kutoelewa usemacho??? Toka lini Muislamu ukayajua ya Ukristo kama sio kutaka kuleta upupu tu hapa ukumbini??? Acha niishie hapa nisiendelee maana.... :smash:

Kama limetoka kwa Bwana hata uje na nguvu gani hutaweza kulizuia na waliokusudiwa watapata baraka zao. Kalagabaho!
Hata DECI si ilitoka kwa bwana na tumeona hatma yake. Ukweli utajionyeshe siku za usoni na mtakimbia nyote humu kwa kuamini mazingaombwe.
 
Jenerali ni sawa na Tomaso! ijapokuwa alikuwa na Bwana Yesu kila siku alipokuwa akitenda miujiza mbali mbali lakini alipofufuka hakuamini mpaka alihitaji kuona alama za misumari kwenye viganja vyake ndipo Tomaso aka amini kuwa yesu amefufuka.

Labda Babu angekuwa mzungu labda skeptism za watu zingepungua! halafu kuna swala la imani, babu ni former priest na tiba yake inatokana na imani ya dini yake, hivyo Jenerali hakupaswa ku challenge imani za watu!
 
Kuna watu wanasema hakuna Mbingu wa Jehanamu.....

Bora uuishi kwa kuamini kwamba Mungu yupo na kuna kwenda Mbinguni na Motoni...kuliko kudhani kwamba hakuna cha mbingu wala moto halafu siku ya siku unakuta ndivyo sivyo.
 
Watashuhudia lakini bado hawatasadiki!Huu uponyaji ni wa kiimani zaidi,it cant be proved scientifically!Maono ya kibinadamu hayawezi kufikia maono ya muumba wao.Sumu kwa maono ya binadamu,mungu kasema iwe dawa na imekuwa!Kwa wasioamini ni kweli ile ni abrakadra kwao lakini wanaoamini ile ni tiba na wengi wamepona!Sio kazi ya kila aliyepona kumtafuta mtu kama Magid na kumshuhudia.Unaweza ukalaumu watanzania wanafata sana mkumbo,lakini vipi kuhusu watu wa mataifa mbalimbali wanavyomiminika kupata tiba Loliondo?Unaweza ukaita unabii wa uongo,lakini manabii wa uongo hutumia jina la mungu kupata mali(rejea yule wa mwenge).Huyu babu wala hanufaiki na hii tiba.Anauza 500,kati ya hizo sh.200 inaenda kanisani, sh.200 inaenda kwenye mfuko wa maendeleo ya kijiji na yeye mwenyewe anabaki na sh.100!Kweli huyu nae mwizi?Msioamini bakini na msimamo wenu.Msiwashawishi wengine hata kwa kutumia peni zenu.Acheni wanaoamini wapone!
We ndo umeweka wazi leo. Kumbe ni mbinu ya kutafuta mchango wa kanisa humo humo? Kuhusu wakenya kwenda pale sio sababu ya kuamini. Wanaoenda Nigeria kny mazingaombwe huku wakimsingizia M.Mungu ndo anapona nao tuseme kweli? Amkeni nyie duh mmelogwaaa??
 
Back
Top Bottom