Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 327
- 376
Hellow wanafamilia wa JF,
Kumekuwa na haya makanisa ya kilokole yanayoota kama uyoga katikati ya makazi yetu, na likiwepo basi ni kelele mtindo mmoja.
Ninapoishi mimi kuna kikanisa kidogo cha aina hii karibu (umbali wa mita 30 tu) ikifika jioni nimerudi kazini siwezi hata kupumzisha kichwa ndani kwangu maana si kwa kelele hizi za maombi na miziki.
Je umewahi kupitia hali kama yangu?
Karibu tupeane uzoefu wa jinsi yakukabiliana na hali kama hii, maana imefikia hatua nachukia makazi yangu.
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Kumekuwa na haya makanisa ya kilokole yanayoota kama uyoga katikati ya makazi yetu, na likiwepo basi ni kelele mtindo mmoja.
Ninapoishi mimi kuna kikanisa kidogo cha aina hii karibu (umbali wa mita 30 tu) ikifika jioni nimerudi kazini siwezi hata kupumzisha kichwa ndani kwangu maana si kwa kelele hizi za maombi na miziki.
Je umewahi kupitia hali kama yangu?
Karibu tupeane uzoefu wa jinsi yakukabiliana na hali kama hii, maana imefikia hatua nachukia makazi yangu.
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app