jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,092
- 35,890
Wakuu Habari ya jioni.
Napenda kuwakaribisha katika mjadala huru,ili kufahamu hasa nini kinachoendelea ndani ya chama kongwe Afrika.
Nimejaribu kujiuliza maswali na wala sipati jibu..
Je ni nini imekikumba cha cha mapinduzi mara baada ya mwenyekiti taifa JPM kuchukua uongozi..
Mana ukitazama haya yanayofanyika sasa ni ya kustaajabisha.
Je ni kukosa sera..?
Je ni chuki binafs dhidi ya wapinzani..?
Je ni kushindwa kuaminiwa na wananchi hivyo kutumia ubabe..?
Je ni nia ya kubadili siasa za nchi kutoka za kidomekrasia kwenda katika mlengo mwingine..?
Ni nini hasa lililo nyumba na aina hizi za siasa.
Je ni kutaka kutawala milele tena kwa mabavu..?
Je ni kuuaminisha wananchi na jumuiya za kimataifa kua inapendwa na hakuna chama cha kisiasa mbadala..?
Kimsingi najaribu kujiuliza nakosa jibu.
Karibuni kwa mjadala huru.
#MaendeleHayanaChama
Napenda kuwakaribisha katika mjadala huru,ili kufahamu hasa nini kinachoendelea ndani ya chama kongwe Afrika.
Nimejaribu kujiuliza maswali na wala sipati jibu..
Je ni nini imekikumba cha cha mapinduzi mara baada ya mwenyekiti taifa JPM kuchukua uongozi..
Mana ukitazama haya yanayofanyika sasa ni ya kustaajabisha.
Je ni kukosa sera..?
Je ni chuki binafs dhidi ya wapinzani..?
Je ni kushindwa kuaminiwa na wananchi hivyo kutumia ubabe..?
Je ni nia ya kubadili siasa za nchi kutoka za kidomekrasia kwenda katika mlengo mwingine..?
Ni nini hasa lililo nyumba na aina hizi za siasa.
Je ni kutaka kutawala milele tena kwa mabavu..?
Je ni kuuaminisha wananchi na jumuiya za kimataifa kua inapendwa na hakuna chama cha kisiasa mbadala..?
Kimsingi najaribu kujiuliza nakosa jibu.
Karibuni kwa mjadala huru.
#MaendeleHayanaChama