Mapoli, Ardhi yenye rutuba, ardhi yenye madini chini, mito, maziwa, bahari, mbuga za wanyama nk hivi vyote vinahitaji fikra pana ili kutanua uwanja na mwisho kutoa mamilioni ya ajira..
Mifuko ya hifadhi ya jamii inunue meli za uvuvi bahari kuu, izikodishe kwa private companies, ijenge viwanda vya kuprocess samaki ivikodishe kwa private companies, samaki fresh and processed wauzwe worldwide as Tanzania product..
Serikali kupitia wizara ya viwanda na biashara itafute wawekezaji wajenge viwanda vya juice vikubwa Tanga na Pwani, wananchi wawezeshwe walime kibepari kufeed hivyo viwanda through out the year..the same to mbogamboga, maua nk..
Vitu vingi sana aisee Serikali inaweza kuvipromote na kusimamia na uwanja ukawa mkubwa kiasi cha kutengeneza mamilioni ya ajira..