johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,855
- 141,793
Waziri Mkuu mstaafu Mzee Mizengo Pinda ameishauri serikali kubadili mfumo wa elimu ili wanafunzi wajikite katika stadi za ufundi na ujasiriamali.
Mzee Pinda ametahadharisha kuwa siyo vema watoto wakaendelea kudanganywa kuwa kuna ajira wakati kiuhalisia ajira ni chache sana.
Pinda alikuwa anafunga kongamano la wawekezaji mkoani Songwe.
Chanzo: ITV habari
My take: Nimeupenda ukweli wa Pinda, msema kweli ni mpenzi wa Mungu!
Mzee Pinda ametahadharisha kuwa siyo vema watoto wakaendelea kudanganywa kuwa kuna ajira wakati kiuhalisia ajira ni chache sana.
Pinda alikuwa anafunga kongamano la wawekezaji mkoani Songwe.
Chanzo: ITV habari
My take: Nimeupenda ukweli wa Pinda, msema kweli ni mpenzi wa Mungu!