... Endapo prof lipumba atakubali kujiunga na hili li baraza la mawaziri uozo la ccm hakika nitamdharau milele na kutilia wasiwasi utashi wake na kazi ya usomi wake pia!!!!!!!!
Acheni ccm kimalizie uchafu wake wote kama walivyouanza mara baada ya mwalimu nyerere kufa ili hukumu ya walalahoi kwa chama hiki hivi karibuni isije ikasambaa hata kwa vyama ambavyo havihusiki na uhandisi wa ufisadi wote wanaolifanyia taifa hili.
Mliosoma gazeti la RAIA MWEMA la leo kuna article ya ndefu pg. 08 yenye headline isemayo BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI.
Ukihesabu utaona kuwa article ina paragraph 31. Siwezi kukopi paraghraph zote bali nakopi ya 20 na 21 kama ifuatavyo:
20:
..Kuna uvumi umeenezwa kuwa Waziri Mkuu ameomba kupumzika asiwemo katika Baraza jipya (linalosukwa upya). Inadaiwa kuwa Mzee Pinda amesisitiza kuwa asifikiriwe kuendelea kuwa Waziri Mkuu kwa sababu anadai amechoka na kuwa yupo tayari kusaidia kwa njia nyingine..
21:
..Inasemekana wametumwa watu kadhaa kumwomba Mzee abadili uamuzi wake huo na kwamba atapewa timu bora zaidi ambayo haitampa kazi kuiongoza....
Nasisitiza, thread haina matatizo yoyote kwani nimekopi wanachokisoma mtaani kupita gazeti hili, RAIA MWEMA wana mtindo ikipita siku moja wanaweka kwenye website yao na tukijifanya tunaiogopa kwa kui-move au kuifuta basi hatutawazuia forum zingine wawe wa kwanza kuishadidia mjadala bila uoga.
SOURCE: RAIA MWEMA
DATE: MAY 02, 2012
PAGE: 08
Mliosoma gazeti la RAIA MWEMA la leo kuna article ya ndefu pg. 08 yenye headline isemayo BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI.
Ukihesabu utaona kuwa article ina paragraph 31. Siwezi kukopi paraghraph zote bali nakopi ya 20 na 21 kama ifuatavyo:
20:
..Kuna uvumi umeenezwa kuwa Waziri Mkuu ameomba kupumzika asiwemo katika Baraza jipya (linalosukwa upya). Inadaiwa kuwa Mzee Pinda amesisitiza kuwa asifikiriwe kuendelea kuwa Waziri Mkuu kwa sababu anadai amechoka na kuwa yupo tayari kusaidia kwa njia nyingine..
21:
..Inasemekana wametumwa watu kadhaa kumwomba Mzee abadili uamuzi wake huo na kwamba atapewa timu bora zaidi ambayo haitampa kazi kuiongoza....
Nasisitiza, thread haina matatizo yoyote kwani nimekopi wanachokisoma mtaani kupita gazeti hili, RAIA MWEMA wana mtindo ikipita siku moja wanaweka kwenye website yao na tukijifanya tunaiogopa kwa kui-move au kuifuta basi hatutawazuia forum zingine wawe wa kwanza kuishadidia mjadala bila uoga.
SOURCE: RAIA MWEMA
DATE: MAY 02, 2012
PAGE: 08
21:
..Inasemekana wametumwa watu kadhaa kumwomba Mzee abadili uamuzi wake huo na kwamba atapewa timu bora zaidi ambayo haitampa kazi kuiongoza....
SOURCE: RAIA MWEMA
DATE: MAY 02, 2012
PAGE: 08
Anaona upepo unakoelekea, hata asingeomba kujiuzulu, baraza jipya hayupo pia!!!! Hongera zake kwa kufanya hivyo, na ili heshima yake iendelee kulindwa atangaze mapema.
kumbe ndiye anaayecheleweshwa kutangwaza kwa Baraza Jipya. So wanasubiri mpaka akubali ombi?
Jamaa lazima ajiuzulu. Nikikumbuka ile ya Madaktari namuonea Huruma.
Hivi kumbe watu bado kabisa hamjui katiba. Kwani mmesahau kuwa waziri lazima atoke miongoni mwa wabunge? Sasa Lipumba ni mbunge wa wapi? Hili haliwezekani msitupotezee muda.
Unaendelea kuonyesha kutokujua kwako sheria za nchi!
Nilipokuita kilaza nilikuwa nina maana hujui unachokisema na sasa umethibitisha.
HAKUNA KIFUNGU KATIKA KATIBA KINACHOMBANA RAIS KUTEUA MBUNGE WA CHAMA CHOCHOTE KUWA WAZIRI! ISIPOKUWA KWA PM NDIO UTARATIBU UMEELEZEWA NI ATOKE CHAMA CHENYE WAJUMBE WENGI. FULL STOP
Case ya znz ni completely different, wamebadilisha muundo wa serikali kutoka waziri kiongozi, kwenye two VP na
mengineyo ilikuwa ni lazima KATIBA ichakachuliwe.
Nimekwambia kaakimya kama hujui