Wacha unafiki, usiseme unapenda maisha yake, hata yeye anajuta angejua angechukua chake mapema na kustaafu darisalama unakunywa juice ya ukwaju kwenye kiyoyozi na kaofisi kauongo na kweli katikati ya jiji , we unafikiri watoto wake wanafagilia huu ujinga? Angalia watoto wa Julius walivyo hohe hahe na wakati baba yao alikuwa mtu mkubwa sana. Ukipata nafasi kubwa weka mipango kwaajili ya kesho, mambo ya shamba sawa ila weka wafanyakazi kila mwisho wa wiki unakamata pipa kwenda kijijini kuangalia mashamba na mifugo, wewe angalia jinsi jamaa alivyochakaa huko kijijini kisha unamsifia.Anawasiwasi gani,Huku kaasali,kule kang'ombe,pole ka zabibu,huko kashamba ka mbiga na vimahindi vya kuchoma kuongeza joto mwilini.Ukweli napenda maisha yake niyakawaida saana,hanatofauti na wengine waishio vijjjni-kasoro yeye alikua kiongozi tu.
Bora kukaa kimya kuliko kukamatwa na polisi kika mara kwa ajili ya mahojiano
kama yule mwingineInatokea tuWhy awe na four names!?
alikuwa na mapungufu yake.. ila mazuri yake yalipita mapungufu. mizani imeegemea kwenye uzuri..Huyu mzee pamoja na mapungufu yake namkubli sana,anaishi maisha anayotaka mwenyewe,yani hana madoido kabisa.
Naikubali sana style ya maisha yake.
![]()
![]()
Nakumbuka kuna siku alilia bungeni nilisikitika sana.Huyu Mzee ana machozi mengi sana...akiamua kulia.
Ni mliaji mzuri sana kwakweli.Nakumbuka kuna siku alilia bungeni nilisikitika sana.
Ni mliaji mzuri sana kwakweli.
Hata huku kijijini huwa tunamwomba Mungu Pinda asiamue kulia.

acha tutakusifu saaana tu mkuu!kumbe ushamba nao ni sifa?
ngoja nami niache swaga za ubonitauni.. labda nitasifiwa!