mwanamapinduko
Senior Member
- Jan 24, 2011
- 178
- 41
Utafiti niliofanya kwa muda wa mwezi, nimebaini kuwa mabasi yanayosafiri safari ndefu, hayapewi kipaumbele kwenye MIZANI. Hivyo hupoteza muda mwingi, na matokeo yake baada ya hapo huenda mwendo kasi kufidia. Kwa kuwa abiria waliboreka na utaratibu huo mbaya kwenye mizani huwaacha madereva waende kama wanavyotaka bila kuwakemea au kutoa taarifa kwa trafiki kwenye cheki pointi!