Miundombinu ya kibongo-bongo. Kudaadadeki!

Miundombinu ya kibongo-bongo. Kudaadadeki!

Askari Kanzu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
4,596
Reaction score
1,236
Hata kwa mkweche mzigo utafika tu!

ndizi-safari.jpg
 
ukiimwagia mchuzi wa swala pori,fisi watakula kuanzia ndizi mpaka matairi.tehehe! tehehe tehehe tehe tehe!
 
huyo kiumbe humo ndani anapata oxygen au carbonmonoxide?kama linatembea....no comment!...:becky:
 
Hii ngoma balaa sidhani kama huu mchomoko unatembea
 
cha ajabu inaweza ikapita ktk ya jiji na isikamatwe wala nini!
 
hapo lazima tukuyu ndo wanakuwaga na mambo ya ajabu
 
Back
Top Bottom