Miujiza 40 ya mtume Muhammad (S.A.W)

Miujiza 40 ya mtume Muhammad (S.A.W)

Nitoe majibu mara ngapi bibie ? Labda nijibu unavyotaka wewe.

Niambie unataka nikujibu vipi ? Ninekupa maelezo yaliyonyoka sana na mfano nikakupa ajabu unauliza swali ambalo jibu limeshatangulia.
Kwanini uniambie maswali yangu ya kijinga??
Naona huyo Muhammed kutokufufua mtu yeyote unaumia sijui..
 
Kwanini uniambie maswali yangu ya kijinga??
Naona huyo Muhammed kutokufufua mtu yeyote unaumia sijui..

Hili haliniumizi sababu Mola wetu humpa amtakae.

Na kila mitume walipewa miujiza yao kulingana na watu wao ili iwe sababu ya wao kuamini.

Rejea miujiza ya Yesu ile ilikuwa ili kukidhi haja,na hakufufua isipokuwa kwa idhni ya Mola muumba na si kwa uwezo wake binafsi,na zama zile kulikuwa na watu wanapenda ushirikina na ufufuo na hii naona imewaatihiri mpaka leo nyinyi mnaotumia kivuki cha Yesu kwa kupenda miujiza mpaka mnatapeliwa sana.

Rejea kwa Musa nae alikuwa na miujiza yake kulingana na watu wake na mfano wa mitume mingine nao walikuwa na miujiza.

Na suala la miujiza ni kutoka kwa Allah aliye juu.
 
Hili haliniumizi sababu Mola wetu humpa amtakae.

Na kila mitume walipewa miujiza yao kulingana na watu wao ili iwe sababu ya wao kuamini.

Rejea miujiza ya Yesu ile ilikuwa ili kukidhi haja,na hakufufua isipokuwa kwa idhni ya Mola muumba na si kwa uwezo wake binafsi,na zama zile kulikuwa na watu wanapenda ushirikina na ufufuo na hii naona imewaatihiri mpaka leo nyinyi mnaotumia kivuki cha Yesu kwa kupenda miujiza mpaka mnatapeliwa sana.

Rejea kwa Musa nae alikuwa na miujiza yake kulingana na watu wake na mfano wa mitume mingine nao walikuwa na miujiza.

Na suala la miujiza ni kutoka kwa Allah aliye juu.
Hilo najua lakini wewe unaonekana Kama unaumia...ukaanza kumwaga povu kwamba nani kasema muujiza wa uponyaji ndio mkubwa...
Nineshangaa hayo yote yanatoka wapi na huku si Jambo lililoongelewa.
Mara maswali ya kijinga...yaani povu povu tu limekujaa.
Mara uliza maswali kwa adabu mtu usiye mjua...unataka niulize huku nimechuchumaa ama kupiga magoti kabisa kisa simjui ?
 
Hilo najua lakini wewe unaonekana Kama unaumia...ukaanza kumwaga povu kwamba nani kasema muujiza wa uponyaji ndio mkubwa...
Nineshangaa hayo yote yanatoka wapi na huku si Jambo lililoongelewa.
Mara maswali ya kijinga...yaani povu povu tu limekujaa.
Mara uliza maswali kwa adabu mtu usiye mjua...unataka niulize huku nimechuchumaa ama kupiga magoti kabisa kisa simjui ?
T
Inaonekana huelewi ninacho kiandika,nimeshaelezea sababu ya kwanini nilimjibu vile na kusema ya kuwa lile ndio jibu stahiki. Sasa kama ungekuwa umeelewa nilichokiandika usingeandika haya unayoandika.
 
T
Inaonekana huelewi ninacho kiandika,nimeshaelezea sababu ya kwanini nilimjibu vile na kusema ya kuwa lile ndio jibu stahiki. Sasa kama ungekuwa umeelewa nilichokiandika usingeandika haya unayoandika.
Tufanye umeshinda na mapovu yako
 
Sitafuti ushindi,zaidi ya kufikisha haki,inabaki juu yako kufata au kuacha.
Na wewe jitahidi kujibu watu kistaarabu...uache kujishuku kwa kudhani kila swali linalokuja kwako Ni attack ama ujinga..
Sio lazima kila mtu aulize vile unataka wewe.
 
Back
Top Bottom