Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,522
- 235,243
Kwanini uniambie maswali yangu ya kijinga??Nitoe majibu mara ngapi bibie ? Labda nijibu unavyotaka wewe.
Niambie unataka nikujibu vipi ? Ninekupa maelezo yaliyonyoka sana na mfano nikakupa ajabu unauliza swali ambalo jibu limeshatangulia.
Naona huyo Muhammed kutokufufua mtu yeyote unaumia sijui..