Miujiza 40 ya mtume Muhammad (S.A.W)

Miujiza 40 ya mtume Muhammad (S.A.W)

Muhammad hajawahi kufanya muujiza hilo lipo wazi hizo story za mleta uzi ni porojo tu za kujifurahisha maana tukitumia quran huuoni muujiza wowote
Hujaongea kielimu. Unajua kwamba Qur'an yenyewe ni muujiza.


Kanusha yale yaliyopo kwenye mada kwa elimu,sio unapayuka.
 
Mimi mara zote nasema tatizo sio Mohamad nae ni victim tu kwa haya mambo tatizo langu mimi ni kwa "yule aliyekutana nae kule Pangoni" yule ndio mwenye shida.
Shida take nini,tueleze tupate kujua.
 
Mimi mara zote nasema tatizo sio Mohamad nae ni victim tu kwa haya mambo tatizo langu mimi ni kwa "yule aliyekutana nae kule Pangoni" yule ndio mwenye shida.
Tupe story mkuu
 
Mimi mara zote nasema tatizo sio Mohamad nae ni victim tu kwa haya mambo tatizo langu mimi ni kwa "yule aliyekutana nae kule Pangoni" yule ndio mwenye shida.
Tupe story mkuu
 
Tupe story mkuu

Thibitisha kwa maandiko wacha maneno ya vijiweni
SAHIH AL-BUKHARI


Narrated Aisha:
The Prophet engaged me when I was a girl of six (years). We went to Medina and stayed at the home of Bani-al-Harith bin Khazraj. Then I got ill and my hair fell down. Later on my hair grew (again) and my mother, Um Ruman, came to me while I was playing in a swing with some of my girl friends. She called me, and I went to her, not knowing what she wanted to do to me. She caught me by the hand and made me stand at the door of the house. I was breathless then, and when my breathing became all right, she took some water and rubbed my face and head with it. Then she took me into the house. There in the house I saw some Ansari women who said, "Best wishes and Allah's Blessing and a good luck." Then she entrusted me to them and they prepared me (for the marriage). Unexpectedly Allah's Apostle came to me in the forenoon and my mother handed me over to him, and at that time I was a girl of nine years of age. (Sahih Al-Bukhari, Volume 5, Book 58, Number 234)​
 
SAHIH AL-BUKHARI


Narrated Aisha:
The Prophet engaged me when I was a girl of six (years). We went to Medina and stayed at the home of Bani-al-Harith bin Khazraj. Then I got ill and my hair fell down. Later on my hair grew (again) and my mother, Um Ruman, came to me while I was playing in a swing with some of my girl friends. She called me, and I went to her, not knowing what she wanted to do to me. She caught me by the hand and made me stand at the door of the house. I was breathless then, and when my breathing became all right, she took some water and rubbed my face and head with it. Then she took me into the house. There in the house I saw some Ansari women who said, "Best wishes and Allah's Blessing and a good luck." Then she entrusted me to them and they prepared me (for the marriage). Unexpectedly Allah's Apostle came to me in the forenoon and my mother handed me over to him, and at that time I was a girl of nine years of age. (Sahih Al-Bukhari, Volume 5, Book 58, Number 234)​
Dah!!mtoto wa miaka tisa kuozwa kwa mzee aisee,tena ndo ametumwa na huyo mungu mwenye upendo sana.

Siwezi kuja kuamini huu upuuzi aisee,
Kiranga
 
Hujaongea kielimu. Unajua kwamba Qur'an yenyewe ni muujiza.


Kanusha yale yaliyopo kwenye mada kwa elimu,sio unapayuka.
Kwa hiyo tuache kuifuata quran tufate story za watu wanaojitungia yasiyokuwepo ?

Kama ni ya kweli hebu leta huo muujiza wa kulisha watu kutoka kwenye quran
 
kwa standard za sasa huyu anaqualify kuitwa pedophile
Kabisa mkuu,kufanya mapenzi na mtoto ambae hata hajabalehe,kwa sasa ilitakiwa achalazwe bakola za kutosha,alafu awekwe behind the bars,ni insanity eti kumfuata huyu.
 
Kwa hiyo tuache kuifuata quran tufate story za watu wanaojitungia yasiyokuwepo ?

Kama ni ya kweli hebu leta huo muujiza wa kulisha watu kutoka kwenye quran
Unajua kuisoma Qur'an ? Unajua utaratibu wa jinsi inavyotafsiriwa Qur'an ?

Nilisema hapo awali kasome tafsiri ya hiyo aya mnayosema inasema kwambs mtume hakupewa miujiza mambo mepesi sana.

Si mmezoea kula vya kuokota mzee,sasa leo katafute mwenyewe maana ya hiyo aya.
 
Back
Top Bottom