Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 7,033
- 15,327
Nimekosea kukukoti. Samahani sana. Lakini si mbaya tumepata faida sote wawili.
Sasa iweje uandike Qur'an haikusemezea chochote kuhusu muujiza juu ya Mtume?
kuna watu wanamwamini na kumtegemea mtu anayetamka hivi.