gTurn
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,407
- 6,973
Niambie hadithi hio dada mtu alikua na Miaka 27 na alimzidi Aisha Miaka 10 kipind Cha hijria na aliolewa baada ya Miaka 3 piga hesabu acha ufala kudandia vitu vihadithi ambavyo hujuiKabisa mkuu,kufanya mapenzi na mtoto ambae hata hajabalehe,kwa sasa ilitakiwa achalazwe bakola za kutosha,alafu awekwe behind the bars,ni insanity eti kumfuata huyu.