Nenda sehemu moja kunaitwa Masumbwe sikumbuki nauli ila kuna gulio nafikiri j5 au kitu kama hicho .Kuna mitumba mingi na mikali sana hayo majitu ya majengo hapo majanja majanja.
Kweli mkuu.Nenda sehemu moja kunaitwa Masumbwe sikumbuki nauli ila kuna gulio nafikiri j5 au kitu kama hicho .Kuna mitumba mingi na mikali sana hayo majitu ya majengo hapo majanja majanja.
Asante sana boss. Nitafuata ushauri wako. Watu wa Majengo wana fujo gani boss ?Nenda sehemu moja kunaitwa Masumbwe sikumbuki nauli ila kuna gulio nafikiri j5 au kitu kama hicho .Kuna mitumba mingi na mikali sana hayo majitu ya majengo hapo majanja majanja.
Pointa ananunua nguo kwa kuchagua kama vile anakwenda kuzivaa yeye kumbe anakwenda kuziuza.Pointa kwenye mitumba ndio section gani?.
Nashkuru sana kwa mchango wako boss. Nitafuata ushauri wako pia. Kahama mitumba ghali ?Kweli mkuu.
Masumbwe, Tinde ikibidi na Mwanza ndo ataenda kupata nguo nzuri kwa nafuu. Ila Kahama mmmh sijui
Asante sana boss kwa ushauri wako. Kufungulisha, unamaanisha kufungua belo ?Nenda masumbwe sehemu wanna ita Lugunga..hapo ni bandari ya mitumba...
Fika masumbwe chukua bodaboda sh.2000/- akupeleke lugunga
Wana belo kali Sana ukizunguka kwenye magodauni yao...
Mengine utajiongeza ukifika..au nenda j5 pale masumbwe ukafungulishe.
Hapo kahama Ni matapeli tu
Wewe unafungua belo au unauza belo ?Nitafute 0747 347478 Tufany kazi, Hautajutia View attachment 2455034View attachment 2455036View attachment 2455037
Nafungua pia nauza na belo nzima kwa jumla kwa Bei rafiki. Kama upo serious fanya tu unitafute kwny hiyo namba tuwasiliane vzr maana huko lugunga unapoelekezwa ndo nimehama kutoka huko na sasa nipo kahamaWewe unafungua belo au unauza belo ?
Ndio kufungua, na ni njia pekee ya kuokoa hasara.. ununuaji wa belo muda mwingine ni Kama kubeti , belo za sasa hivi ni kubabatishaAsante sana boss kwa ushauri wako. Kufungulisha, unamaanisha kufungua belo Q
Utapeli wa Kahama ni upi ? Wanauza nguo mbaya kwa bei juu ?
Asante tena.
Chief unajisikilizia sana mwishowe na huo mtaji utautafuna embu nenda Masumbwe then Lugunga rudi majengo jibu utakua ushalipata.Anza haraka sana hiyo biashara mengine yatajiset mbele kwa mbele .Simu ni moja tu tukutane benki.Asante sana boss. Nitafuata ushauri wako. Watu wa Majengo wana fujo gani boss ?
Ndio kufungua, na ni njia pekee ya kuokoa hasara.. ununuaji wa belo muda mwingine ni Kama kubeti , belo za sasa hivi ni kubabatisha
Asanteni nyote mliotumia muda wenu kunipa ushauri. Mmenipa mwanga kwa kweli.Chief unajisikilizia sana mwishowe na huo mtaji utautafuna embu nenda Masumbwe then Lugunga rudi majengo jibu utakua ushalipata.Anza haraka sana hiyo biashara mengine yatajiset mbele kwa mbele .Simu ni moja tu tukutane benki.